Naantombe Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,254
- 15,743
Nimehisi tu mkuu maana kuna washkaji kibao nawafaham wali apply lakini hawajaitwakwa nini mkuu au rate ya vijana kutangaza kama wameitwa imepungua
Nimehisi tu mkuu maana kuna washkaji kibao nawafaham wali apply lakini hawajaitwakwa nini mkuu au rate ya vijana kutangaza kama wameitwa imepungua
Naanza kuhisi itakuwa wameangalia hicho kigezo ndo mana nasema people zitakuwa wachache. na inaonekana hii ya sahiv ukikaza tako lazima upate.se
au upper second na first class pia ni kgezo kinchochangia wawe wachache?
sasa kuna watu vyuon hawasomi eti wanakula bata shauli zao waliosongoka watakuwa wanapeta maana hakuna namnaNimehisi tu mkuu maana kuna washkaji kibao nawafaham wali apply lakini hawajaitwa
basi sawa kaka umejiandaa lakini? Mi nimesoma leo siku nzima kuhusu tax wakija ki miss ntawaumiza sanainawezekana mkuu maana pia mm watu wengi nawajua waliomba ila wawili tu ndo tumejibiwa
wewe umeitwa ipi? hongera zako ila aptitude test huwa hazitabirikibasi sawa kaka umejiandaa lakini? Mi nimesoma leo siku nzima kuhusu tax wakija ki miss ntawaumiza sana
Tax assistant kwani aptitude test we unaelewa vip? sometime ni paper kama ya darasaniwewe umeitwa ipi? hongera zako ila aptitude test huwa hazitabiriki
REQUEST :Mwenye document ya responsibilities za Assistant Tax Officer naomba anisaidieAnother man down@perry
Mbona kawaida tu mkuuDuuh mafuriko kama kawa
Poa mkuu ngoja tuangaike na shughuli za hapa na pale.badae badae tutajuzana yanayojiriAsante sana mkuu tupo tunapambana
[emoji106]Usijali pamoja[emoji106]
Habari wadau, poleni na majukumu, hatimaye TRA wameanza kuita watu kwa usaili utakaofanyika tarehe 11 bunju Ilipo NBAA
Updates
Kwa wale waliokua na wasiwasi kuhusu barua tayari TRA wameishatuma kwenye email zenu angalieni
Habari wadau, poleni na majukumu, hatimaye TRA wameanza kuita watu kwa usaili utakaofanyika tarehe 11 bunju Ilipo NBAA
Updates
Kwa wale waliokua na wasiwasi kuhusu barua tayari TRA wameishatuma kwenye email zenu angalieni
Update kwa waliofanya interview NBAAHabari wadau, poleni na majukumu, hatimaye TRA wameanza kuita watu kwa usaili utakaofanyika tarehe 11 bunju Ilipo NBAA
Updates
Kwa wale waliokua na wasiwasi kuhusu barua tayari TRA wameishatuma kwenye email zenu angalieni