TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

Why wasiweke majina kwenye website hii ya kupiga simu inachukua muda mrefu mtu anaweza akapigiwa siku moja kabla ya interview na kama yuko mkoani inakuwaje badilisheni utaratibu
Mdogo wangu alifanya Jana ila alipigiwa simu wiki moja kabla na leo atapata majibu wameambiwa watakao pita jumatano oral
 
Habari wadau, poleni na majukumu, hatimaye TRA wameanza kuita watu kwa usaili utakaofanyika tarehe 11 bunju Ilipo NBAA

Updates
Kwa wale waliokua na wasiwasi kuhusu barua tayari TRA wameishatuma kwenye email zenu angalieni
kama kawa wabongo engi ni majipu..jana jamaa alisema saa 10 kamili jioni wataachia matokeo lakini hadi saizi kimya
 
Back
Top Bottom