Huu mchakato bado unaendelea guys.. hope shld never be lost.Nikikumbika nilivyotoka usiku pale afu nimekaushiwa hadi leo hahahaaa....
Kutoka usiku hakudetermine wewe kuitwa tena, tusikariri maisha!Nikikumbika nilivyotoka usiku pale afu nimekaushiwa hadi leo hahahaaa....
Hatimaye namm MUNGU amenipendelea. Ooooh Ahsante MUNGU wangu.
Umemjibu vizur sanaa, mana watu wengine cjui akili wanatumia kuzikalia ..........Hakuna anaemaanisha ivyo mzee! Issue ni kuwa mtu ume struggle mpaka dk za mwisho afu unaambulia patupu ndo tunachomaanisha...kupata hatuwezi kupata wote tra na pia sio peponi pale.kuna waliofanikiwa na wengine hatujafanikiwa thats all.mwisho wa siku nikuwa happy tu
ivi wewe ni mburula wa wapi huelewi kiswahili??Habari wadau! Aisee huu mwezi wa saba nani mwezangu ambaYe ameitwa kwenYe interview TRA??
Jamaa ang unajua we ni mtoto wa kiume na wanaume hatusutagi sasa nashangaa mshkaji ang unanipa mashaka achaga izo mambo! Ni utaratibu ambao unaendelea kabla Ya zoezi la kusitisha ajira so kama kitu huna uhakika usibongeivi wewe ni mburula wa wapi huelewi kiswahili??
lugha ndogo aliyoongea rais hukumuelewa ndo utaelewa kazi yake?
serikali imesitisha zoez la kuajiri kwa miezi karibia miwili wasafishe uko jikoni kwao,,then wataendelea mnamo september kuita..kama uli apply na kuitwa utakua umepokea message ya kusimamisha zoez la ajira..
Jamaa ang unajua we ni mtoto wa kiume na wanaume hatusutagi sasa nashangaa mshkaji ang unanipa mashaka achaga izo mambo! Ni utaratibu ambao unaendelea kabla Ya zoezi la kusitisha ajira so kama kitu huna uhakika usibonge
barua zinatumwa kwenye email
tayari mdauCUSTOMS BADOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
kifupi hukuitwa jua umechujwa..sasa hasira zako za kuchujwa huko unazileta hapa kama mgeni wa protocol za ajira ase unakua unazingua bange aseJamaa ang unajua we ni mtoto wa kiume na wanaume hatusutagi sasa nashangaa mshkaji ang unanipa mashaka achaga izo mambo! Ni utaratibu ambao unaendelea kabla Ya zoezi la kusitisha ajira so kama kitu huna uhakika usibonge
ukachukue TIN namba wapi mkuu?Leo TRA wamenipigia Simu nimefurahi sana hiki kitu nimekisubiria mda mrefu nimeruka ruka sana kwa furaha Kwa kweri Mungu ni mwema na Wewe atakusaidia Leo ndo nimepigiwa simu Nikachukue TIN number.
Ajira zimeshafunguliwa sasaWakuu ebu nielewesheni kidogo, ule mchakato wa msako wa watumishi hewa umeisha au TRA kuna special case. Maana sidhani kama miez 2 imefika toka rais atangaze kusimamisha ajira za serikali
mziki wa tax na preventive uliuonaje?Mimi mwenyewe nimepigiwa simu na TRA wiki Jana na sisi hivu nipo njiani naenda kwenye usaili DAr utakaofanyia Tarehe 23,,, sasa wew unae sema serikali imesitisha ajira mpaka September tena kwa shouting hvyo aya...
Mlikuwa wangapi? Na kwa nafasi ngap mkuu?Ama kweli hawa jamaa wametunyoosha jana.. Yaani ile paper maswali 50 na zaidi ya maswali 35 ni maelezo hadi uje kupata jibu dakika 5 na muda wenyewe ni saa moja tu...