TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TAX NA PREVENTIVE MAPEMAAAA SAAAANA WAMEITWA CUSTOMS BADOOOOO
 
TAX NA PREVENTIVE MAPEMAAAA SAAAANA WAMEITWA CUSTOMS BADOOOOO

Wakuu Custom tayari. Mimi leo nilifuata barua yangu ya Asst Tax, nikakutana na jamaa yeye ana barua ya Custom na anasema alipigiwa simu tangu Jtatu.

Sina ushahidi mwingine.
 
Wakuu Custom tayari. Mimi leo nilifuata barua yangu ya Asst Tax, nikakutana na jamaa yeye ana barua ya Custom na anasema alipigiwa simu tangu Jtatu.

Sina ushahidi mwingine.

Ey uliapply tax assistance ???
 
zoezi limeisha, jana nimeenda TRA, reception tu kuna barua baadhi, na zingine zishatumwa mikoani na chumba na 27 kinazo chache pia,,,,, but nilikua miongoni mwa ambao hawakufanikiwa.
pale nilipo danganya simu yangu ilikua haipatikani so nimekuja fanya confirmation na kujibiwa wote tuliowapigia tumewapata....aah aaah
Mtafutaji hachoki, tukaze,,,,,
 
zoezi limeisha, jana nimeenda TRA, reception tu kuna barua baadhi, na zingine zishatumwa mikoani na chumba na 27 kinazo chache pia,,,,, but nilikua miongoni mwa ambao hawakufanikiwa.
pale nilipo danganya simu yangu ilikua haipatikani so nimekuja fanya confirmation na kujibiwa wote tuliowapigia tumewapata....aah aaah
Mtafutaji hachoki, tukaze,,,,,
hiyo hatari na mm kuna mtu aliniambia wote wamepewa taarifa, so kaza but badili uelekeo TRA cyo size yako
 
zoezi limeisha, jana nimeenda TRA, reception tu kuna barua baadhi, na zingine zishatumwa mikoani na chumba na 27 kinazo chache pia,,,,, but nilikua miongoni mwa ambao hawakufanikiwa.
pale nilipo danganya simu yangu ilikua haipatikani so nimekuja fanya confirmation na kujibiwa wote tuliowapigia tumewapata....aah aaah
Mtafutaji hachoki, tukaze,,,,,
Safi sana
 
Yule mama wa reception alikuwa anajibu kuwa wamemaliza ila Kuna mfakazi mwingine wa tra nilimuuliza akaenda kuuliza wanaopiga simu akasema bado customs hawajaita ila yule mama wa reception alikuwa ashasema wamemaliza
 
Ila hii system ya uitaji ni mbovu kwanini wasinge publish kwenye website list ya majina au zile namba za siku ya interview? Sasa wamefanya hivo ili kuchomeka majina au vip? Hii nchi yetu bana yaani kila jambo linatia shaka na kuacha maswali.
 
Back
Top Bottom