ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaa tukumbukane basi nikutumie katigo pesa kangu xunajua tumetoka mbaliJamaa wana mbwenbwe sana...tunapimwa kama wacheza mpira!.
Badala watusome Saikolojia waone kama ni majipu au laaa wameshikilia CT Scan sijui ushuzi gani.....na majibu wabaki nayo wenyewe mimi wanipe ofisi na meza tu na kule CRDB mzigo uwe unatiririkaa
ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaa tukumbukane basi nikutumie katigo pesa kangu xunajua tumetoka mbali
usitaje mambo ya deki naumia sana aiseeeeeAisee wewe REYRO tayari ushapata.
Kama upo karibu baadae ukitoka kwa wale WAHINDI wanaokupigisha DEKI uje mitaa ya Kijitonyama.
usitaje mambo ya deki naumia sana aiseeeee
usikumbushe basi hapa nimetoka kusuuza vikombe vya chai walizokunya amakwel ntanyookaSijataja mimi nimekumbushia tu!!
Ndio nyie jana mlikua kwenye semina na maboss wa tra? Jana niliwaona kwenye taarifa ya habari
Hongereni sana. Vp Asst customs officer nao waliitwa?Ndio sisi buana tukapiga na nsosi buana
Hongereni sana. Vp Asst customs officer nao waliitwa?
ha ha ha umenimis eeeeh!!!!!!!!!!!!!!!! nipo hapa kazin rafiki nawatumikia watukufu wahindi ndo namaliza kudeki nikakalie kiti changu cha uhasibi hope upo kwenye kiyoyozi mkuuReyro upo wapi ???
umeitwa leo auHatimaye namm MUNGU amenipendelea. Ooooh Ahsante MUNGU wangu.
wapi umeitwa mkuu?Hatimaye namm MUNGU amenipendelea. Ooooh Ahsante MUNGU wangu.
Customswapi umeitwa mkuu?
Customs
Duuuh huuu mtihani sasa...lakini yote kheri maana nkifikiria hawa wahindi..Umeambiwa unaanza kazi au unatakiwa uingie kwenye Mafunzo?.
Kama mafunzo anza kuaga kabisa kunyumba maana watu wana masomo Saba semester ya kwanza. Suruali lazima zikupwaye!