TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

huu uzi mrefu sna hivi hao tra bado wanaitaga watu ktk interview?
 
Dah kama preventive washaitwa imekula kwangu dah nlivyokua nisubiri kwa matumaini[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: DLS
Kama mpaka leo hujaitwa hili gari lishakuacha. Asanteni kwa kushiriki japo najua waliokosa wanaumia kimoyomoyo... Sio mwisho wa maisha lakini....
Off course kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi
 
Naskia kama ulijibu currently unafanya kazi sehem flan ndo ushakatwa tena!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! mlioitwa mtuambie mlijibu ni majobless au hii tetesi ni uiongo
 
Naskia kama ulijibu currently unafanya kazi sehem flan ndo ushakatwa tena!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! mlioitwa mtuambie mlijibu ni majobless au hii tetesi ni uiongo

Inaweza kuwa na Ukweli. Mi waliuliza 'When will you be available if TRA wants you' nikatiririka kuwa at any time T. Na walivyonianbia we need to hear about you starting from College nikavurumisha madude weeeee sikusema kama nina sehem ya kuzugia.

Wanangu wawili wapo Auditing firm, walifunguka kazi zao ili kuongeza Credibility (Wenyewe ndo walisema) hadi sasa LANDLINE hazijawafikia!.
 
Inaweza kuwa na Ukweli. Mi waliuliza 'When will you be available if TRA wants you' nikatiririka kuwa at any time T. Na walivyonianbia we need to hear about you starting from College nikavurumisha madude weeeee sikusema kama nina sehem ya kuzugia.

Wanangu wawili wapo Auditing firm, walifunguka kazi zao ili kuongeza Credibility (Wenyewe ndo walisema) hadi sasa LANDLINE hazijawafikia!.
yah mm nina rafiki zangu kama sita hiv nimemaliza nao mzumbe hawakua na kazi wote wameitwa na wengine watano walijibu wako kazini hawajaitwa dadeki hii ni kwel kabisa najutaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Daaah mi bado siamini karoho kananiuma, maana hata mm n muhanga wa wahindi km ndugu yangu reyro
 
  • Thanks
Reactions: KVN
Daaah mi bado siamini karoho kananiuma, maana hata mm n muhanga wa wahindi km ndugu yangu reyro[/QUOMBA MUNGU NAKUMBUKA KUNA JAMAA YANGU ALIKUJA KUITWA HADI AMESHA SAHAU KAMA ALIFANYA USAILI
 
  • Thanks
Reactions: KVN
Back
Top Bottom