TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

Ila hii system ya uitaji ni mbovu kwanini wasinge publish kwenye website list ya majina au zile namba za siku ya interview? Sasa wamefanya hivo ili kuchomeka majina au vip? Hii nchi yetu bana yaani kila jambo linatia shaka na kuacha maswali.
ha ha ha ha hatareeeeeeeeeeeeeee
 
zoezi limeisha, jana nimeenda TRA, reception tu kuna barua baadhi, na zingine zishatumwa mikoani na chumba na 27 kinazo chache pia,,,,, but nilikua miongoni mwa ambao hawakufanikiwa.
pale nilipo danganya simu yangu ilikua haipatikani so nimekuja fanya confirmation na kujibiwa wote tuliowapigia tumewapata....aah aaah
Mtafutaji hachoki, tukaze,,,,,
ha ha ha ha ha umeniua mbavu kumbe ulifwata kaushauri kangu kakujipeleka
 
Pambaneni wakuu never giv up,wengine tulinza na diploma ila sasa tuna master degree ni kupambana kwel kwel Tz ya leo sio ya jana watu kbao kila kona
 
Yule mama wa reception alikuwa anajibu kuwa wamemaliza ila Kuna mfakazi mwingine wa tra nilimuuliza akaenda kuuliza wanaopiga simu akasema bado customs hawajaita ila yule mama wa reception alikuwa ashasema wamemaliza
tukubali tu mkuu imeshakula kwetu" ............. tujipange mwakani, inauma sana lakin ndio hivyo huu mchezo hauhitaji hasira.
 
  • Thanks
Reactions: DLS
kuna rafiki angu huku kalazwa kwa presha mweeeeeeeeeeeeeh
mwambie maisha ndivyo yalivyo kuna kupata na kukosa sema nasikia wanakula 1.224 m dah kianzio kizuri hiki, (onyo taarifa hiz zinaweza zisiwe na uhakika wowote)
 
mwambie maisha ndivyo yalivyo kuna kupata na kukosa sema nasikia wanakula 1.224 m dah kianzio kizuri hiki, (onyo taarifa hiz zinaweza zisiwe na uhakika wowote)
mwengine anasema 800000 which is which
 
Back
Top Bottom