TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

Hapa hakuna cha kuangaika wala nn unajibeba mpaka chumba no 27 unaanza kudai barua hata kama hawajakupigia kitaeleweka huko huko
 
mm naomba mnielekeze jengo gan jaman mnaosubiri simu subirin labda wameishiwa credit unaacha kwenda kuuliza umekaa tu mm naenda zangu jaman nisije kufa kwa presha
 
hahahahaha nikiitwa ntazimia kwa furaha maana WAHINDI wananinyanyasa mm accoutant hapohapo nioshe vyombo wakinywa chai nideki ofic, nideki choo kwa laki tano

Ha ha ha ha duuuuh hawa watu wanyanyasaj kichiz yani daaaah sema ndo life ivyo kuvumilia tu
 
inauma sana nalalamika mtu wa usafi wanajizungusha tu yan nikiitwa NTAANDIKA 24 HRS RESIGNATION nahisi watalia sana kenge hawa
 
aiseeee watu wa customs hakuna alieitwa jamii forum
 
hahahahaha nikiitwa ntazimia kwa furaha maana WAHINDI wananinyanyasa mm accoutant hapohapo nioshe vyombo wakinywa chai nideki ofic, nideki choo kwa laki tano
You made my day [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Dah kama preventive washaitwa imekula kwangu dah nlivyokua nisubiri kwa matumaini[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
 
hahahahaha nikiitwa ntazimia kwa furaha maana WAHINDI wananinyanyasa mm accoutant hapohapo nioshe vyombo wakinywa chai nideki ofic, nideki choo kwa laki tano
We jamaa umenchekesha kinoma
 
Back
Top Bottom