ha ha ha ha yaani wewe unavituko kwel we omba mungu upepo ukudondokee tu basNimenunua betri na Pawa Benki ili nisije kosa simu yao...nimenunua na Kipochi cha kubebea simu....na kwa hali inavypendelea nataka nitafute NOKIA kitochi maana si haba kwa kukaa chaji hii Tecno itanikosesha mambo matam.!!
ok, mi pia niliwambia anytime wakasema, TRA will contact you, huku nikatoka nikiwa nacheka harafu mbabu anaangalia kwa makini nikaanza kuhisi anakagua mlegezoSi waliuliza when will u b available? nikajibu ant time wakasema ok we shall contact u any time from now nikasepa
hatariii itakuwa ulifanya vyema, kweli mmewaamulia TRA mwaka huuNimenunua betri na Pawa Benki ili nisije kosa simu yao...nimenunua na Kipochi cha kubebea simu....na kwa hali inavypendelea nataka nitafute NOKIA kitochi maana si haba kwa kukaa chaji hii Tecno itanikosesha mambo matam.!!
any way atakayeitwa atatoa taarifaila nasikia ndan ya mwezi wanaitaga sijajua vizur
Yani hata mimi nna wasiwasi hyo, maana mmh wanaweza wakasema aah huyu anakazi tayairi ngoja tumuache.Hiv mkuu kama ukisema currently wewe ni mfanyakazi somewhere sindo ushakosa kaz kabisa mm naogopa kwel mmmh
ha ha hahahahahaha mlegezo tenaok, mi pia niliwambia anytime wakasema, TRA will contact you, huku nikatoka nikiwa nacheka harafu mbabu anaangalia kwa makini nikaanza kuhisi anakagua mlegezo
ha ha ha ha ha bas imekula kwangu aisee uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiYani hata mimi nna wasiwasi hyo, maana mmh wanaweza wakasema aah huyu anakazi tayairi ngoja tumuache.
ha ha hahahahahaha mlegezo tena
ha ha ha ha ha bas imekula kwangu aisee uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hizi ni post za mwaka jana si zile za costums,preventive, na tax assistant za mwaka huu zile za mwisho miaka 25 za diploma ... Bado wanashortlist kuweni na subira ...mlioaplly mwaka huu..
Na siku ukitumbuliwa uje kusema kuwa umesign contract ya kuachaWatu tumesha sign had contract nyie jifarijini hapa
Ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaa kwa kweliNa siku ukitumbuliwa uje kusema kuwa umesign contract ya kuacha
Oky in God we trustKuweni na subra mtaitwa baada ya mwezi mmoja
hongera zako na nadhani hata usaili hukufanyaWatu tumesha sign had contract nyie jifarijini hapa
Ametishahongera zako na nadhani hata usaili hukufanya