TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

ha ha ha ha haya bwana apo toa 100 ambao wakujuana then 200 wa watoto wa wakulima
 
REYRO WEWE C NI MTOTO WA KIGOGO UNA WAS WAS GANI?
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa hata sijulikani kwetu ifakara huko kwa wakulima huhuhuhuhhuuuuuuuuuuuuu

tutasubir sana
 
Kuitwa kwenye oral tu yenyewe n muujiza tosha
 
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa hata sijulikani kwetu ifakara huko kwa wakulima huhuhuhuhhuuuuuuuuuuuuu

tutasubir sana
duh bas mapenzi ya Mungu yatimizwe, maana hii kama sandakarawe
 
Duuuh huu uzi una ma spy wengi. 24,400 views...?? Haya bana

*buy your fear, sell your greed*

Kila la heri......
 
Back
Top Bottom