NyarokaTheOne
Member
- Mar 20, 2016
- 8
- 1
Dah, nilichelewa kupata hbr hz hata barua tu sikutuma
Barua gani aisee???Dah, nilichelewa kupata hbr hz hata barua tu sikutuma
Nitajaribu mwakani
umeonae, jamaa hata kwenye usaili hakwenda na mkataba kasain, soon atakuwa jipuAmetisha
hahahahahahahhahaha hao si tigo promotion ya milio bomba hahahahahahahahaanimekuta missed call ya number 0901653333 naipigia naambiwa namba haipo. Nshapishana na gari la mshahara au?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]hahahahahahahhahaha hao si tigo promotion ya milio bomba hahahahahahahahaa
hakiyanani mwaka huu tutakoma mm nilikuta missed call no ya ajabu napiga haipokelewi nikarudia mara kibao ikapokelewa ila simsikiii wala nn vocha ikaisha nikakopa kupokea kumbe mteja nilimpa no the same day nilimkatia simu nikachukia sana hahahahah
acha kucheka mkuu hali ngumu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
noma sana aiseeHahaha nishida sasa hv had bafuni na zama ni phone presha ipo high
reyro hatari sana na cjui watakapoanza kuita watuhahahahahahahhahaha hao si tigo promotion ya milio bomba hahahahahahahahaa
hakiyanani mwaka huu tutakoma mm nilikuta missed call no ya ajabu napiga haipokelewi nikarudia mara kibao ikapokelewa ila simsikiii wala nn vocha ikaisha nikakopa kupokea kumbe mteja nilimpa no the same day nilimkatia simu nikachukia sana hahahahah
duh hatari, ila mjipe moyoHahaha nishida sasa hv had bafuni na zama ni phone presha ipo high
yaan we acha tu hapa yeyote ataye nibip kama namba mpya nakimbia kununua vocha au nakopa daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah afu unashangaa miez miwil kazin Rais katengua ajira hakiyanani Naenda kwa KALUMANZIRA Ha ha ha ha ha noma sanareyro hatari sana na cjui watakapoanza kuita watu
hatari na hapo hujaitwa sasa cjui utakapoitwayaan we acha tu hapa yeyote ataye nibip kama namba mpya nakimbia kununua vocha au nakopa daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah afu unashangaa miez miwil kazin Rais katengua ajira hakiyanani Naenda kwa KALUMANZIRA Ha ha ha ha ha noma sana
presha juuuuuuuuuuuuuuuuuuuu presha chiniiiiiiiiiiihatari na hapo hujaitwa sasa cjui utakapoitwa
Asante inaonekana IQ yako ina hitaji shothakuna hr wa TRA humu,kawaulize ofisini kwao. sisi tunajadili kuhusu interview
Wangapi mkuuHahahah nyie watu wa Magufuli mnachekesha sana.. Eti mpaka simu unaenda nayo bafuni bwahahahahhaa.... Hivi kwani mmeshajua watachukua watu wangapi.?
zaidi ya 100 kwa assistant tax officerWangapi mkuu