TOINYO
Senior Member
- Aug 8, 2012
- 119
- 45
Samahani ati mweeh!!ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa mimi ni mdada bwana sio buraza hahaha
Nikuomba mungu tu hiv uko serious wamesema one month heeeee bas niendelee na kilimo changu
Samahani ati mweeh!!ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa mimi ni mdada bwana sio buraza hahaha
Nikuomba mungu tu hiv uko serious wamesema one month heeeee bas niendelee na kilimo changu
ha ha ha ha majina yakubun haya mkuu uxjalSamahani ati mweeh!!
duuuuu hiyo ni tax officer au zile mbili zilizo baki? hahaha nabahati sikuulizwa vya act but yote yalikua yanahusu videsa aiseeeee noma sanaYan kuna kibabu kimekonaa maswali yake yote ni According to Income Tax Act....
Hilo ni goma la Tax Officer. Kibabu ukikijibu kinakwambia hapa hapo hapo.....unajiona tayari chaliiiiiduuuuu hiyo ni tax officer au zile mbili zilizo baki? hahaha nabahati sikuulizwa vya act but yote yalikua yanahusu videsa aiseeeee noma sana
Diploma kuitwa kazini au Interview????.Heeee jamn nili apply hii ya nafasi za deploma ivi wameshaanza kuita?
au ndo yule babu aliniuliza unaexpect mshahara kias gan kalikua kakongwe kwel na giza lile ha ha haHilo ni goma la Tax Officer. Kibabu ukikijibu kinakwambia hapa hapo hapo.....unajiona tayari chaliiiii
Yeye huyo..Kulikua na Mama kushoto. Msela mweupe kulia alaf kati kati kikakaa Kikongwe kile kilichokua kinauliza mishahara..."We need figures" alisema.au ndo yule babu aliniuliza unaexpect mshahara kias gan kalikua kakongwe kwel na giza lile ha ha ha
ha ha ha ha bas mkuu tuliingia panel moja babu kati pemben white na mwanzon mmama anapekua vyeti hatareeeee tena akaniuliza sababu za tax avoidance hahahaha at least five point dadekYeye huyo..Kulikua na Mama kushoto. Msela mweupe kulia alaf kati kati kikakaa Kikongwe kile kilichokua kinauliza mishahara..."We need figures" alisema.
Naaaam, kibabu kimenikaanga na types of Assessment na yule mweupe sikumbuki mwaswali yake maana kiliuliza maswali ya videsa ambayo ni magumuuuuuuha ha ha ha bas mkuu tuliingia panel moja babu kati pemben white na mwanzon mmama anapekua vyeti hatareeeee tena akaniuliza sababu za tax avoidance hahahaha at least five point dadek
Ha ha ha ha ha ha ha duuuh jamn mbona sikutegemea ayo maswali kabisa eti hii ya deploma tuliyo apply mwaka huu ule mwez wa pili wameshaita???ha ha ha ha bas mkuu tuliingia panel moja babu kati pemben white na mwanzon mmama anapekua vyeti hatareeeee tena akaniuliza sababu za tax avoidance hahahaha at least five point dadek
mweupe aliuliza exempted na zero rate taxable supply afu uelezee application zake kwenye vat input xjui yani nilimkata jicho akachekaNaaaam, kibabu kimenikaanga na types of Assessment na yule mweupe sikumbuki mwaswali yake maana kiliuliza maswali ya videsa ambayo ni magumuuuuuu
Ha ha ha ha ha ha ulimkata jicho eti ha ha ha ha ha hamweupe aliuliza exempted na zero rate taxable supply afu uelezee application zake kwenye vat input xjui yani nilimkata jicho akacheka
nilimention types za assessment nilipofika yatatu babu akashtuka usingizini anasema explain each type aiseee mbona njaa yote ilikata hapohapoNaaaam, kibabu kimenikaanga na types of Assessment na yule mweupe sikumbuki mwaswali yake maana kiliuliza maswali ya videsa ambayo ni magumuuuuuu
usiombe yan alicheka maana nilibadilika uso woteHa ha ha ha ha ha ulimkata jicho eti ha ha ha ha ha ha