TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

Jamn jman uwiiiiii mbona mi selew mniambie basi izi nafasi mnazoitwa now ni za lini plzzzzzzz plzzzzzz plzzzz
 
Chlorine Gas mungu hapendi...!!!.
Ijumaa tu kinuke leo, hata kuoza bado hakijaoza kinaanzaje kunuka??
huyu jamaa ila mimi ninaaminigi mtu akimtaja Mungu bas huwa najua niukwel hongera mwaya
 
Kivipi mkuu tujuzane tusije tukaacha vibarua vyetu tukaruka mkojo tukakanyaga yale mambo ha ha ha
Hahaaa haaaa, ni kweli enzi za Kikwete TRA palikua pazuri sana kimaslahi, huyu Magu amevuruga kabisa huwezi hata kua na vicontena vyako viwili vitatu vya kukusanyia kodi Bar?
 
Hahaaa haaaa, ni kweli enzi za Kikwete TRA palikua pazuri sana kimaslahi, huyu Magu amevuruga kabisa huwezi hata kua na vicontena vyako viwili vitatu vya kukusanyia kodi Bar?
ha ha ha ha afu wewe kumbe unamanisha hakuna kuiba sisi twataka benefit za kihalali tu zitatosha bhana
 
Yan kuna kibabu kimekonaa maswali yake yote ni According to Income Tax Act....
dah!" itakua tulikua panel moja, hicho kibabu kiliniuliza hat mimi hilo swali nikamwambia hilo hapanaa, cjui kama kuna aliolijb, ukichelewa kujibu anakwambia fanya fasta kuna wengine wanasubiri nje .............. kakaniuliza unaexpect mshara sh. ngap' nikawa nagoma kujb, wakanibana nikawatajia 900" we uliwaambia ngap?
 
dah!" itakua tulikua panel moja, hicho kibabu kiliniuliza hat mimi hilo swali nikamwambia hilo hapanaa, cjui kama kuna aliolijb, ukichelewa kujibu anakwambia fanya fasta kuna wengine wanasubiri nje .............. kakaniuliza unaexpect mshara sh. ngap' nikawa nagoma kujb, wakanibana nikawatajia 900" we uliwaambia ngap?
mi niliwaambia M
 
ha ha ha ha ha ha la mshahara hakuna kubug wengi wametaja hiyo range but hatujui wanalipa sh ngapi aiseee
 
ha ha ha ha ha ha mimi wakanipa namaji yakunywa babu anasema kunywa maji uwe fresh akat yeye anarembua usingizi
REYRO basi wewe utakuwa ulimkonga nyoyo, ila fresh ngojea niendelee kuchoma mishkaki yangu maana huo kulikuwa na balaa
 
REYRO basi wewe utakuwa ulimkonga nyoyo, ila fresh ngojea niendelee kuchoma mishkaki yangu maana huo kulikuwa na balaa
ha ha ha ha acha kunifurahisha nimkonge wapi akati apo hajaanza kuuliza hata kijiswali
 
ha ha ha ha acha kunifurahisha nimkonge wapi akati apo hajaanza kuuliza hata kijiswali
ha ha ha mimi nikadhani wewe,uliwapiga sawa sawa, vp hv nyie hamkuulizwa mnataka muanze kufanya kazi lin?
 
ha ha ha mimi nikadhani wewe,uliwapiga sawa sawa, vp hv nyie hamkuulizwa mnataka muanze kufanya kazi lin?
Si waliuliza when will u b available? nikajibu ant time wakasema ok we shall contact u any time from now nikasepa
 
Back
Top Bottom