Disposal
JF-Expert Member
- Oct 22, 2013
- 285
- 78
hahahaha nmecheka kimyakimyaHahaha mlioitwa hamuogopi kwenda kutumbuliwa?
hahahaha nmecheka kimyakimyaHahaha mlioitwa hamuogopi kwenda kutumbuliwa?
Mmemaliza saa nne usiku leo?NBAA...Saa Sita mchana ndio natoka saa hizi...Mavi matupu hawa watu
Mimi ni wa saa sita, nimeacha kama watu 80 wa batch ya saa nane hawajaanza. Dunia inaelekea Ukingoni na soon Sir Jesus atarudi. TujiandaeMmemaliza saa nne usiku leo?
Huku kuajiriwa huku! Kutatumaliza! J5 tulimaliza saa mbili usikuMimi ni wa saa sita, nimeacha kama watu 80 wa batch ya saa nane hawajaanza. Dunia inaelekea Ukingoni na soon Sir Jesus atarudi. Tujiandae
Leo watamaliza saa sita au saba usikuHuku kuajiriwa huku! Kutatumaliza! J5 tulimaliza saa mbili usiku
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Leo watamaliza saa sita au saba usiku
Kumaliza ni kitu kimoja na kupata ni kitu kingine aseeUnamaliza interview usiku wa manane na bado kazi hupati
Vijana inabidi tutazame kwa jicho la tatu huku kuajiriwa hukuKumaliza ni kitu kimoja na kupata ni kitu kingine asee
Kama kuna kaulweli vile...nilikuta mbabu ameshadumaa akili hataki bla blaa...anasema dogo mention tu hatuna muda wa It went It goSiku zote wale wanaokuaga wa mwisho ndo wanaopata kazi maana ile panel inakuwa imechoka sana hivyo kuna max wanatoa tu.. Na ukiangalia na nyinyi uchovu wenu wanawapa priority fulani hivi....ombeni mungu .....
inawezekanaeHahahahaaa wa mwisho ndo wa kwanza
Blaza itakua uliyaweza yale madubwana..na jinsi walivyokua wakishambulia kwenda mbeleee....mimi walisema hivi "Ti ara ei will contact you within one month". Nikataka niulize nishapataaaa???sijui wataanza kupiga lini maana mm waliniambia any time from that day mmmmmmmmmmmmh!!!
ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa mimi ni mdada bwana sio buraza hahahaBlaza itakua uliyaweza yale madubwana..na jinsi walivyokua wakishambulia kwenda mbeleee....mimi walisema hivi "Ti ara ei will contact you within one month". Nikataka niulize nishapataaaa???