TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

wewe kula msuli tu wa darasani
we wanauliza kuhusu videsa tena? uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Yani kabsa wametubania. Hata mimi nashangaa kwanini watu wako kimya. Isitoshe nafasi zetu ni tofauti kwahyo haimanishi wakitudokezea labda tutawazidi. Jamani tunaomba updates wale mulioenda interview jana na leo ili sisi wa kesho tujipange zaidi.
soma mambo ya darasani, na uwe confident, jua majukumu ya kazi unayoiomba
 
Ila nnajiuliza sisi tumeitwa 320 halafu wote ni kesho, nikipiga mahesabu naona kama watatumia kumu interview kila mmoja dakika 1.5 hivi kweli inawezekana au kuna panel nyingi sio moja.
 
Ila nnajiuliza sisi tumeitwa 320 halafu wote ni kesho, nikipiga mahesabu naona kama watatumia kumu interview kila mmoja dakika 1.5 hivi kweli inawezekana au kuna panel nyingi sio moja.
zipo kama pannel nne nadhani kutokana na wingi wenu wataongeza mjipe moyo Mungu ni mkuu
 
Nina Bonge ra kitabu ra rashidi ra tax sijui hata nashika nini sheeenzi....
ndio natoka kuhukumiwa usiku huu, tokea asubuhi hat sijakula manina zao hawa. cha msingi pigeni kitabu muijue tax na TRA .............. basiiiiiii.
 
ndio natoka kuhukumiwa usiku huu, tokea asubuhi hat sijakula manina zao hawa. cha msingi pigeni kitabu muijue tax na TRA .............. basiiiiiii.
Mungu akutangulie Mzee uwafumue fumue nawe uwe mmoja wa watakaopigiwa simu kuwa umedaka Job.

Tax ndeeeefu tunapambana hivyo hovyo.....
TRA tutakomaa nayo kuijua pia.
Asante mdau
 
Mungu akutangulie Mzee uwafumue fumue nawe uwe mmoja wa watakaopigiwa simu kuwa umedaka Job.

Tax ndeeeefu tunapambana hivyo hovyo.....
TRA tutakomaa nayo kuijua pia.
Asante mdau

thanx mkuu, best of luck.
 
Back
Top Bottom