vipi kuhusu custom mzee?Kwa watu wa Tax, dubwana la pdf ilo hapo.
hongera mkuuDaaah, namshukuru Mungu, nami nimo!.
Acha nienderee kura msuri japo niende kwanza pata juisi ya ndimu na vikababu pale rozana.
Nawatakieni kila la kheri wote waajiriwa watarajiwa wa TRA.Habari wadau, poleni na majukumu, hatimaye TRA wameanza kuita watu kwa usaili utakaofanyika tarehe 11 bunju Ilipo NBAA
Updates
Kwa wale waliokua na wasiwasi kuhusu barua tayari TRA wameishatuma kwenye email zenu angalieni
UPDATES KWA WALIOFANYA ASSISTANT PREVENTIVE NA ASSISSTANT CUSTOMS OFFICER
yametoka yameishatoka ntawawekea mda si mrefu
, nimo piaNawatakieni kila la kheri wote waajiriwa watarajiwa wa TRA.
Sasa zile ndoto zenu za baba mama Na watoto(BMW) ziondoweni huko
Ni kazi kweli kweli.
Wateja waheshimiwe Na nyie mjiheshimu.
BMW ni hatari unaweza ukatumbuliwa mapema sanaNawatakieni kila la kheri wote waajiriwa watarajiwa wa TRA.
Sasa zile ndoto zenu za baba mama Na watoto(BMW) ziondoweni huko
Ni kazi kweli kweli.
Wateja waheshimiwe Na nyie mjiheshimu.
Thank God namimi nimo. Ila marks nilizopata zimenitia hasira maana sijazoea kupitwa na watu wengi yaani wa kwanza ana 92 halafu mimi nna 60 akati kwenye cheti cha chuo ni 1st class....,. daah anyway lakini ngoja tukapambane kwenye hiyo oral na Mungu ajalie. Inshaaalah
walitumia gpa kuita kumbe mkuuThank God namimi nimo. Ila marks nilizopata zimenitia hasira maana sijazoea kupitwa na watu wengi yaani wa kwanza ana 92 halafu mimi nna 60 akati kwenye cheti cha chuo ni 1st class....,. daah anyway lakini ngoja tukapambane kwenye hiyo oral na Mungu ajalie. Inshaaalah
I guess so mkuu.. Maana hata kwenye tangazo la kazi walisema ni kuanzia upper secondwalitumia gpa kuita kumbe mkuu
swali zuriHivi wadau kwa anaejua, hizi interview za TRA hua zinakua ngapi? (kwa kifupi naomba kujuzwa baada ya oral interview hua nini kinafuata?)
Hivi MISHAHARA YA TRA Kwa nafasi kama hizo ulizotaja wanalipaje?Sina hakika na hizo post kwa sababu zilitoka baadaye, hizi walizoanza kuwapigia watu ni zile zinazo anza na assitant tax officer, assistant preventive officer, assistant customs officer hizi zilitoka mwaka jana