TRA na mapato ya November 2016

TRA na mapato ya November 2016

Leo ni tarehe 18 December 2016 lakini sijasikia TRA wamekusanya sh ngapi kwa mwezi november. Imekua ni kawaida kila mwanzoni mwa mwezi tunaambiwa kilichokusanywa mwezi wa nyuma yake. Aliyesikia TRA wakitangaza atuambie ni sh ngapi ilikusanywa
Mapato hata yakiwa BILION 10,000 Yanafaida gani na sisi wavuja jasho?
Nchi imekuwa na Njaa kuliko wakati wa uhujumu uchumi.
Kila mwananchi analia njaa.

Hizo namba ni upumbavu mtupu.
Mfano wake ni Baba kurudi nyumbani akijisifu kapata faida kubwa wakati watoto wake wamelala njaa.
Sasa hio Faida kubwa ina manufa gani kwa Watoto?

Hii serikali ni wasanii Nuksi.
Hata Nyerere hakuwahi kututesa namna hii.
Wameshindwa kukamata majambazi yanayoua askari na Raia wema wanakwenda kumkamata Max.

Dah...
Hata North korea wana afadhali.
Tuombe uhai 2020 ifike.

Yakizidi billion 700 bila editing magufuli anifunge kifungo cha maisha.
 
Serikali ina vyanzo vingi vya mapato.. Mapato yakipelea serikali inao uwezo wa kuchapisha hela na kuziingiza kwenye mzunguko ili kufidia nakisi...
Hicho nacho ni chanzo cha mapato? Yaani kwenye Bajeti serikali inaweza kusema itarajia kupata trilioni 1 kwa kuchapisha noti ili kuziba naksi itakayokuwa imejitokeza?
 
Kwa ambao mnafanya kazi haswa kwenye makampun mauzo mwez wa nov na december huwa yanashuka sana labda uwe unafanya biashara ya vitu vinavyoendana na sikukuu lakin sekta nyingine zote mauzo hushuka sana ni kawaida na yanapanda taratibu had mwez wa pili hivi
Makusanyo ya November 2015 na December 2015 uliyaona?

Yale waliyojivunia kwa mara ya kwanza kuvuka malengo katika awamu hii, ambayo yalikuwa yameboostiwa na arrears?
 
Huwezi kusikia tena.... Na hapa bado hasa mapato ya serikali yanayotokana na faida ya mabenki.... Kwisha habari!!!!!
 
Inawezekana ni kweli Mkuu, maana TRA Wameahamaliza kukusanja viporo vyote vya magari chakavu na penalties zisizo nakichwa wala miguu, sasa wanakusanya Actual
Kweli. Hilo la heavy penalty ya magari chakavu liliambatana na laana. Ulikuwa ni uonevu uliotukuka. Sasa mwisho watanza kuweka kodi ya kichwa kama enzi za marehemu Sokoine.
 
Hahahaaaa

Hii tabia ya kuchukia mfanyabiashara na wakati huo unapenda uwe na kodi kubwa

Mkuu serikali bila kodi, haiwezi kusurvive, ndio sehemu ya mapato, na muhimu kujali wale wenye kutoa hayo mapato, na yes wafanyabiashara wababaishaji wapo, wakwepa kodi nk.. lakini kodi hio hio iwe fare kwa mfanyibiashara na muhimu zaid na zaidi kwa mwananchi na mtumiaji wa kile tunachowakata kodi, wafanyabiashara. kwa sababu mimi na wewe ndio walipaji wa hio kodi.

Utumiaji wa kodi bila kuwezesha mazingira mazuri ya ulipaji kodi ni kuhesabu hasara ya mapato ya kodi, na matumizi mabaya na ya ovyo ya walipaji kodi ni unyanyasaji...
 
Inawezekana ni kweli Mkuu, maana TRA Wameahamaliza kukusanja viporo vyote vya magari chakavu na penalties zisizo nakichwa wala miguu, sasa wanakusanya Actual
Sasa hivi watahamia kwa wamiliki wa nyumba na ardhi. Eka moja penalty ni 100m, then watahamia shule za private heavy penalty...
 
Huwezi kusikia tena.... Na hapa bado hasa mapato ya serikali yanayotokana na faida ya mabenki.... Kwisha habari!!!!!


Mkuu kuhusiana na mabank, inategemea unaingalia ktk jicho gani, kama unaangalia pesa ya serikali ndani ya mabank ni investment, basi tumewin, na kama utaangalia kama sehemu ya kufanya na kuwapatia ma CEO wa mabank ulaji, na kufanya serikali malofa ya pesa ya wananchi, basi inabidi uikimbize, na hicho ndicho alichofanya Muheshimiwa lkn ukija kwenye maamuzi ya mwanzo, uko sawa na ukiangalia kwa upande wa maamuzi ya pili, pia uka sawa...

lakini maamuzi ya pili ni kama sehemu ya mafunzo kwa mabank na serikali, ijapokua ni slow process itaishia kwenye maamuzi ya mwanzo, kama investment, yaani kwa ufupi ni viscious cycle, ni slow to understand, lakini tutalielewa tu...
 
Haya inabidi yafuate taratibu husika. Isijekuwa kama utafiti wa NIMR kuhusu kurusi cha zica
 
Sasa hivi watahamia kwa wamiliki wa nyumba na ardhi. Eka moja penalty ni 100m, then watahamia shule za private heavy penalty...

Hapo ndio kulipo na shida kuu, maana Police wameshaonekana ni chanzo kizuri cha mapato sasa wanafikiria jinsi ya kuongeza kiwango cha faini

Kweli sasa watakuja kwenye majumba, cha ajabu unaweza kuwa wewe na jirani yako mnalipa kodi ya majengo tofauti kisa nyumba zenu ziko tofauti, ili hali wote hamna maji, hamna barabara, umeme mmejivutia wenyewe

Shida kuu hizo pesa zinazokusanywa zinapelekwa kwenye kununua ndege ambazo zitakuja nchini baada ya miaka miwili na faida baada ya miaka kumi
 
zika imetangazwa ikawa noma duniani, mkurugenzi akilitangaza hili huoni wananchi wataandamana na yeye kutenguliwa

Leo ni tarehe 18 December 2016 lakini sijasikia TRA wamekusanya sh ngapi kwa mwezi november. Imekua ni kawaida kila mwanzoni mwa mwezi tunaambiwa kilichokusanywa mwezi wa nyuma yake. Aliyesikia TRA wakitangaza atuambie ni sh ngapi ilikusanywa
 
Mkuu kuhusiana na mabank, inategemea unaingalia ktk jicho gani, kama unaangalia pesa ya serikali ndani ya mabank ni investment, basi tumewin, na kama utaangalia kama sehemu ya kufanya na kuwapatia ma CEO wa mabank ulaji, na kufanya serikali malofa ya pesa ya wananchi, basi inabidi uikimbize, na hicho ndicho alichofanya Muheshimiwa lkn ukija kwenye maamuzi ya mwanzo, uko sawa na ukiangalia kwa upande wa maamuzi ya pili, pia uka sawa...

lakini maamuzi ya pili ni kama sehemu ya mafunzo kwa mabank na serikali, ijapokua ni slow process itaishia kwenye maamuzi ya mwanzo, kama investment, yaani kwa ufupi ni viscious cycle, ni slow to understand, lakini tutalielewa tu...

Well, you may be right in one way, ila nilichomaanisha ni deposits za wateja ambazo zinaleta faida kwa wateja ambazo at the end of the day zinatozwa kodi... Mfano mikopo inayotolewa kwa wateja... Mabenki mengi ya biashara kwasasa hayatoi mikopo kwa wateja kama zamani, take it from me. Hisa zilizowekwa katika mabenki kila zinapozaa faida hukatwa kodi, sasa kama faida hakuna then kodi hakuna, kama mikopo hakuna then 10% commission hakuna. You may now tell what i mean dude.
 
Huwezi kusema jambo bila ya kuweka utoto ndani yake?
Sio utoto mkuu. Watoto hawana Sifa hizi chafu.
Huu ni ukosefu wa malezi ya kiungwana.
Kiumbe kama huyo Unategemea atakujaleta Maendeleo nchini?

Wa namna hii wako wengi tu.
Huyu ni kumpuuza asije kuona amesema la maana.

Pamoja sana.
 
Ha ha I can imagine unacheza na Bandari unacheza na wafanyabiashara wakubw wa sukari, unacheza na mfumo wa sekta ya umma unacheza na sekta ya fedha kwa maana ya soko la hisa mabenki na benki kuu unanyanyasa wafugaji wakulima na wamachinga utegemee upate trillion 1.3 sahau kabisa hilo
 
We

Maisha magumu kwako peke yako kwani mkeo akugawii buku ten ninayompa nikishamkanyaga
Kahtan anakusaidia wewe tu binti, hana njaa na vurugu zenu hizi za kuingoza. kahtaan ni specialist katika hospitali aliyolazwa muasisi wa chama chako hata kifo kikamkuta akiwa huko; Saint Thomas Hospital-London. Sasa jiulize kama specialist katika hospitali hiyo anaweza kuwa na njaa. Ni hali ya ubinaadam tu alionao hata anaona hali ilivyo huko home, lakini vinginevyo watu matawi ya juu sana humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom