TRA na mapato ya November 2016

TRA na mapato ya November 2016

TAARIFA KUTOKA JIKONI NIKUWA MAPATO YAMESHUKA KWA 26% YA MAKADILIO YA NOVEMBER 2016 YA TRILON 1.1...WAMEKUSANY BILLION 896 TU.
Sasa tatizo liko wapi wakitangaza?
 
Taratibu naanza kurejea kwa nyumba ya jirani maana huku kwangu naona giza linazidi kukolea wakati mwanga unafifia
 
tutaambiwa mapato yamevuta malengo toka tri.1.2 had tri.2.6..takwimu za TWAWEZA na kusadikika!!
 
TAARIFA KUTOKA JIKONI NIKUWA MAPATO YAMESHUKA KWA 26% YA MAKADILIO YA NOVEMBER 2016 YA TRILON 1.1...WAMEKUSANY BILLION 896 TU.
Wamekusanya madeni weeeeee....sasa yameisha....wakahamia kwenye magari (import taxi) weeeee sasa yameisha.....
Any way let us keep our fingers crossed
 
TAARIFA KUTOKA JIKONI NIKUWA MAPATO YAMESHUKA KWA 26% YA MAKADILIO YA NOVEMBER 2016 YA TRILON 1.1...WAMEKUSANY BILLION 896 TU.

Inawezekana ni kweli Mkuu, maana TRA Wameahamaliza kukusanja viporo vyote vya magari chakavu na penalties zisizo nakichwa wala miguu, sasa wanakusanya Actual
 
TAARIFA KUTOKA JIKONI NIKUWA MAPATO YAMESHUKA KWA 26% YA MAKADILIO YA NOVEMBER 2016 YA TRILON 1.1...WAMEKUSANY BILLION 896 TU.
Kwani wafanyabiashala wa DRC si wameludi? Kwanini mapato yashuke?
 
Na bado yatashuka chini ya billion 896 miezi ijayo. Tena kna watakaoacha biashara zilizorasimishwa ili wakajiunge na wanaotandaza bidhaa barabarani. I love my President. Rais wa wanyonge no matter what.
 
Mungu hadhihakiwi kamwe, malipo yatakuwa hapa hapa duniani.
 
Kwa ambao mnafanya kazi haswa kwenye makampun mauzo mwez wa nov na december huwa yanashuka sana labda uwe unafanya biashara ya vitu vinavyoendana na sikukuu lakin sekta nyingine zote mauzo hushuka sana ni kawaida na yanapanda taratibu had mwez wa pili hivi

Aliekudanganya ni nani? Huu ndio mwezi wa TRA kukasanya masalio ya miezi iliyopita. Na ni wakati wa makampuni kulipa madeni ya nyuma na kufunga hesabu za mwaka. Mbona December mwaka jana walikusanya hela nyingi?
 
Kama nikweli basi ndio athari za kutenda kazi kwa woga kwamba labda taarifa yangu ikiwa kinyume na matarajio natumbuliwa hapohapo!
 
Leo ni tarehe 18 December 2016 lakini sijasikia TRA wamekusanya sh ngapi kwa mwezi november. Imekua ni kawaida kila mwanzoni mwa mwezi tunaambiwa kilichokusanywa mwezi wa nyuma yake. Aliyesikia TRA wakitangaza atuambie ni sh ngapi ilikusanywa
Bodi imevunjwa
 
Arrears za kodi za nyuma zimeisha, wafanyabiashara ndio hao wamefunga business. Wamebaki wafanyakazi tu hawana pa kutokea ili kuachana na PAYE. Hayo ndio mapato ya serikali yaliyo na uhakika.
 
Serikali ina vyanzo vingi vya mapato.. Mapato yakipelea serikali inao uwezo wa kuchapisha hela na kuziingiza kwenye mzunguko ili kufidia nakisi...
Iyo ela unachapisha shilingi au dollar?
alaf kwa pesa ya madafu kadiri utakavoichapisha ndivyo inavoporomoka dhidi ya ela zingine.na nchi yenyewe inategemea bidhaa toka nje ikitokea achapishe mambo ya zimbabwe yanajirudia tanzania
 
Makusanyo ya Nov bado yanapikwa na TWAWEZA... then wayarudishe TRA ndio yatangazwe..
Vuta subira Mkuu.
1. Comments za hovyo kama ya kwako ndizo zinazopelekea vyombo vya habari na social networks kufuatiliwa na kuchukuliwa hatuwa kama ya kushatikiwa au kufungiwa.
2. Maxence Mero yuko mahabusu kwa sababu ameamua kuwalinda users wake ikiwemo na wewe, lakini wewe hujifunzi kupitia tukio hilo, mbili kwa kuendelea kupost uzushi tafsiri yake ni kwamba huna huruma wala shukrani kwa kaka wa watu aliye jitoa sadaka kwa ajili yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom