TRA na mapato ya November 2016

TRA na mapato ya November 2016

Kwa ambao mnafanya kazi haswa kwenye makampun mauzo mwez wa nov na december huwa yanashuka sana labda uwe unafanya biashara ya vitu vinavyoendana na sikukuu lakin sekta nyingine zote mauzo hushuka sana ni kawaida na yanapanda taratibu had mwez wa pili hivi
.. Kwa hiyo kwa kuwa yanashuka ndiyo iwachukue muda mrefu kuyaweka hadharani?
 
Siku Hizi Kila Mtu Mchumi Na Mtaalamu Wa Ndege
Sio kila mtu ni mchumi, watu wanatunza kumbukumbu na pia watu wanafanya literature reviews, kwa hiyo mwez huu ukiongea A mwez ujao uka ukasema B lazima watu wahoji ata kama hawana utaalam. Walisema uchumi uko vizur na mapato yamepanda na yanavuka malengo kila mwezi wataalam wakawapinga wakasema uchumi hauko salama na mapato yatashuka. Hamna anaeombea mabaya ndani ya nchi lakini mtu anaposhauri na kuupuzwa inauma especialy anaekupuuza unajua kabisa hajui
 
TAARIFA KUTOKA JIKONI NIKUWA MAPATO YAMESHUKA KWA 26% YA MAKADILIO YA NOVEMBER 2016 YA TRILON 1.1...WAMEKUSANY BILLION 896 TU.

Mimi kama Shetanii miongoni Mwa mashetanii wote tz..naipongeza Sirkalii Uchumi unaimarika sasa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom