Yakizidi billion 700 bila editing magufuli anifunge kifungo cha maisha.
"Wafanyabiashara kama hawataki waondoke......bora ije meli moja...."TAARIFA KUTOKA JIKONI NIKUWA MAPATO YAMESHUKA KWA 26% YA MAKADILIO YA NOVEMBER 2016 YA TRILON 1.1...WAMEKUSANY BILLION 896 TU.
Wewe si ulikuwa unapaliliaWanavuna walichokipanda
Inasikitisha sana Mkuu..Hahahaaaa
Hii tabia ya kuchukia mfanyabiashara na wakati huo unapenda uwe na kodi kubwa
Mpaka wa analyse na misaada ya tetemeko ili wa include bila kusahau makusanyo ya trafikLeo ni tarehe 18 December 2016 lakini sijasikia TRA wamekusanya sh ngapi kwa mwezi november. Imekua ni kawaida kila mwanzoni mwa mwezi tunaambiwa kilichokusanywa mwezi wa nyuma yake. Aliyesikia TRA wakitangaza atuambie ni sh ngapi ilikusanywa
Mambo ya ajabu kabisaInasikitisha sana Mkuu..
Wewe unataka kodi then walipa kodi unawachukia..!!
Tunajua hayo yote...haya twambieni mmekusanya bei gani??Kwa ambao mnafanya kazi haswa kwenye makampun mauzo mwez wa nov na december huwa yanashuka sana labda uwe unafanya biashara ya vitu vinavyoendana na sikukuu lakin sekta nyingine zote mauzo hushuka sana ni kawaida na yanapanda taratibu had mwez wa pili hivi