Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,062
Wakimaliza huko?Sasa hivi watahamia kwa wamiliki wa nyumba na ardhi. Eka moja penalty ni 100m, then watahamia shule za private heavy penalty...
Wakimaliza huko?Sasa hivi watahamia kwa wamiliki wa nyumba na ardhi. Eka moja penalty ni 100m, then watahamia shule za private heavy penalty...
Yaani huo utakuwa upimbi utoe hela ukanunue hela ili uziongeze kwenye mzunguko kisa umekusanya chini ya matarajio sio kufikilia njia mbadala ya kuongeza mapato kwa siku nyingine za usoni if that happen Tanzania will no longer being in top of economics countrySerikali ina vyanzo vingi vya mapato.. Mapato yakipelea serikali inao uwezo wa kuchapisha hela na kuziingiza kwenye mzunguko ili kufidia nakisi...
Well, you may be right in one way, ila nilichomaanisha ni deposits za wateja ambazo zinaleta faida kwa wateja ambazo at the end of the day zinatozwa kodi... Mfano mikopo inayotolewa kwa wateja... Mabenki mengi ya biashara kwasasa hayatoi mikopo kwa wateja kama zamani, take it from me. Hisa zilizowekwa katika mabenki kila zinapozaa faida hukatwa kodi, sasa kama faida hakuna then kodi hakuna, kama mikopo hakuna then 10% commission hakuna. You may now tell what i mean dude.
Yap!Wamekusanya madeni weeeeee....sasa yameisha....wakahamia kwenye magari (import taxi) weeeee sasa yameisha.....
Any way let us keep our fingers crossed
Lengo langu ni kukupa darasa fupi la economics, Ni kweli kabisa serikari ya nchi yeyote ile inapokuwa na nakisi inaweza kuchapisha hela ili kufidia nakisi, lakini njia hii haitumiwi sana kwa sababu ni rahisi sana kupelekea mfumuko wa bei (inflation).Serikali ina vyanzo vingi vya mapato.. Mapato yakipelea serikali inao uwezo wa kuchapisha hela na kuziingiza kwenye mzunguko ili kufidia nakisi...
makusanyo ya mapato na kuingizwa pesa mpya kwenye mzunguko wa fedha (money supply) ni vitu viwili tofauti. Usipotoshe.Serikali ina vyanzo vingi vya mapato.. Mapato yakipelea serikali inao uwezo wa kuchapisha hela na kuziingiza kwenye mzunguko ili kufidia nakisi...
Mimi ninachojua kelele za chura huwa hazimuzui punda kunywa maji, ila kwa nchi yetu awamu hii nasikia kelele zinazuia barabara au Sera nzuri zisitengenezwe1. Comments za hovyo kama ya kwako ndizo zinazopelekea vyombo vya habari na social networks kufuatiliwa na kuchukuliwa hatuwa kama ya kushatikiwa au kufungiwa.
2. Maxence Mero yuko mahabusu kwa sababu ameamua kuwalinda users wake ikiwemo na wewe, lakini wewe hujifunzi kupitia tukio hilo, mbili kwa kuendelea kupost uzushi tafsiri yake ni kwamba huna huruma wala shukrani kwa kaka wa watu aliye jitoa sadaka kwa ajili yako.
Wakusanyaji na watakwimu wako busy kujitayarisha kuitumbua X-mas.Leo ni tarehe 18 December 2016 lakini sijasikia TRA wamekusanya sh ngapi kwa mwezi november. Imekua ni kawaida kila mwanzoni mwa mwezi tunaambiwa kilichokusanywa mwezi wa nyuma yake. Aliyesikia TRA wakitangaza atuambie ni sh ngapi ilikusanywa
Kila mradi kwa hisani kodi yako wewe inafanyakazi ganiMIMI HUWA NASHANGAA SANA KWANI MAPATO YANAPOPUNGUA ANAYEUMIA NI NANI?
NI MIMI MWANANCHI AU NI SERIKALI?
Kweli mkuu kusema watasema lakini ukweli IPO pale pale bilioni za kikwete zikionekana na maisha yalikuwa mzuri kuliko matrillioni yanayokushanywa hamna lolotekwani mkuu unadhani wanashindwa kutangaza..
kwani wakisema wamekusanya trilioni 2 tutawabishia ?
hukumbuki sheni alipata kura elf 58 ccm wakatangaza laki 3..
Leo ni tarehe 18 December 2016 lakini sijasikia TRA wamekusanya sh ngapi kwa mwezi november. Imekua ni kawaida kila mwanzoni mwa mwezi tunaambiwa kilichokusanywa mwezi wa nyuma yake. Aliyesikia TRA wakitangaza atuambie ni sh ngapi ilikusanywa
Niliweka Uzi Tarehe kama Nane Hivi December kuelezea kwamba mapato ya mwezi November yameshuka hadi karibu Bil 598,lakini Mods waliondoa Huo Uzi,Mods Hawajui kwamba Kule TRA wanaofanya kazi ni watu na wanatumia mitandao?TAARIFA KUTOKA JIKONI NIKUWA MAPATO YAMESHUKA KWA 26% YA MAKADILIO YA NOVEMBER 2016 YA TRILON 1.1...WAMEKUSANY BILLION 896 TU.