TRA na mapato ya November 2016

TRA na mapato ya November 2016

Wanaunganisha na zile za trafiki.......zikijumlishwa vizuri mtapata taarifa.
Msiwe na haraka, kuna mambo mengi ya kushughulika nayo......
Hasa huyu kiongozi wenu wa humu.
 
MIMI HUWA NASHANGAA SANA KWANI MAPATO YANAPOPUNGUA ANAYEUMIA NI NANI?

NI MIMI MWANANCHI AU NI SERIKALI?
 
Watz wa sasa wao kila leo wana hamu ya kusikia habari mbaya tuu ata sijui kwa faida ya nani?
 
Bavicha mmfekia kuombea na mapato yashuke!kweli magufuli kawashika pabaya,
 
Kwa ambao mnafanya kazi haswa kwenye makampun mauzo mwez wa nov na december huwa yanashuka sana labda uwe unafanya biashara ya vitu vinavyoendana na sikukuu lakin sekta nyingine zote mauzo hushuka sana ni kawaida na yanapanda taratibu had mwez wa pili hivi
Acha uongo wako sasa hivi ndo bidhaa nyingi zinaingizwa nchini kwa ajiri ya sikukuu , na mauzo ni makubwa sana kwa sisi
wafanyabiashara, labda ungesema january, february na machi ningekuelewa
 
Tulikosea tulivyokuwa tunafanya editing, sifuri ziliongezeka zaidi. Tunasubiri IT department wapate muda waje watuelekeze namna ya kufuta kwenye system. Soon tutawapa number mnazopenda kusikia.
 
Hata
TAARIFA KUTOKA JIKONI NIKUWA MAPATO YAMESHUKA KWA 26% YA MAKADILIO YA NOVEMBER 2016 YA TRILON 1.1...WAMEKUSANY BILLION 896 TU.
Hats kama tutajazia na faini za barabarani,ole ni kwa madereva na bodaboda
 
Leo ni tarehe 18 December 2016 lakini sijasikia TRA wamekusanya sh ngapi kwa mwezi november. Imekua ni kawaida kila mwanzoni mwa mwezi tunaambiwa kilichokusanywa mwezi wa nyuma yake. Aliyesikia TRA wakitangaza atuambie ni sh ngapi ilikusanywa
Tunasubiri bodi mpya iundwe .
 
Aisee nafikiri wewe shuleni ulikuwa unakuwa wa mwisho
na kama wewe ni mdudu basi wewe ni funza.
Ahahahahahaha uyo zaid ya funza mzee tena kwa mtindo huu nadhan lumumba wote sawa na bwana yule miungu ya india
 
Arrears za kodi za nyuma zimeisha, wafanyabiashara ndio hao wamefunga business. Wamebaki wafanyakazi tu hawana pa kutokea ili kuachana na PAYE. Hayo ndio mapato ya serikali yaliyo na uhakika.
Hawana pa kutokea wakina nani? Au we sio Mtanzania, acha chuki bhana
 
Hayatatangazwa hadi mkuu sana aamue refer ZIKA SCANDAL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom