TPDC: Bei za mafuta zipo chini ukilinganisha na nchi nyingine

TPDC: Bei za mafuta zipo chini ukilinganisha na nchi nyingine

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,419
Reaction score
5,021

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imefanikiwa kukabiliana na uhaba wa mafuta Nchini ambao ungetokea kufuatia vita vya Mashariki ya Kati vilivyopelekea kuadimika kwa bidhaa hiyo muhimu ya Nishati Ulimwenguni koteAkizungumza na Waandishi wa Habari, Jijini Dar es Salaam leo, Jumapili tarehe 05/07/2026,

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) Mussa Mohammed Makame amesema Tanzania haijashuhudia changamoto ya upatikanaji wa mafuta katika kipindi chote tangu kuanza kwa vita hivyo, na hiyo inakuja hata kwa kufanya ulinganifu baina ya Tanzania na mataifa jirani, hatua ambayo imetimiza lengo la kwanza la serikali la kuhakikisha Nchi haipati uhaba wa bidhaa hiyo

Soma:Sigrada Mligo: Wabunge tunalipwa hela ya mafuta kulingana na bei iliyoko sokoni siku hiyo ndio maana wabunge hawajadili kupanda kwa mafuta

Amesema lengo la pili la serikali lilikuwa ni kuhakikisha bei za mafuta zinakuwa himilivu Nchini, ambapo eneo hilo pia limefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwakuwa bei za mafuta zilizokuwepo Nchini ni za chini ukilinganisha na mataifa mengine ikiwemo mataifa jirani"Pamoja na kutoondosha kodi zote, wenzetu katika Nchi jirani wamepunguza au kufuta baadhi ya kodi katika kipindi hiki, wengine wamepunguza hadi ubora wa mafuta lakini bado bei zao ziko juu kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na sisi" -Makame

Akizungumzia mjadala unaendelea mtandaoni kuhusu upatikanaji wa mafuta na madai ya kupanda kwa bei Nchini, Makame amesema katika kupanga bei Tanzania imekuwa ikichukua wastani wa bei ya Dunia ya mwezi wa nyuma (yaani kama huu mwezi wa Saba, wanachukua wastani wa bei za Dunia za mwezi wa Sita) katika kukokotoa bei ya mwezi husika, hata hivyo amesisitiza kuwa Nchi zote zimekuwa zikitumia bei za Kimataifa moja, hivyo madai ya kwamba bei za mafuta za Tanzania zimepanda maradufu kulinganisha na mataifa mengine hazina uhalisia"Kwahiyo kwenye hili nataka niseme kwamba huu ulinganifu ambao umekuwa ukifanyika hauko sawasawa" -Makame
 

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imefanikiwa kukabiliana na uhaba wa mafuta Nchini ambao ungetokea kufuatia vita vya Mashariki ya Kati vilivyopelekea kuadimika kwa bidhaa hiyo muhimu ya Nishati Ulimwenguni koteAkizungumza na Waandishi wa Habari, Jijini Dar es Salaam leo, Jumapili tarehe 05/07/2026,

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) Mussa Mohammed Makame amesema Tanzania haijashuhudia changamoto ya upatikanaji wa mafuta katika kipindi chote tangu kuanza kwa vita hivyo, na hiyo inakuja hata kwa kufanya ulinganifu baina ya Tanzania na mataifa jirani, hatua ambayo imetimiza lengo la kwanza la serikali la kuhakikisha Nchi haipati uhaba wa bidhaa hiyo

Soma:Sigrada Mligo: Wabunge tunalipwa hela ya mafuta kulingana na bei iliyoko sokoni siku hiyo ndio maana wabunge hawajadili kupanda kwa mafuta

Amesema lengo la pili la serikali lilikuwa ni kuhakikisha bei za mafuta zinakuwa himilivu Nchini, ambapo eneo hilo pia limefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwakuwa bei za mafuta zilizokuwepo Nchini ni za chini ukilinganisha na mataifa mengine ikiwemo mataifa jirani"Pamoja na kutoondosha kodi zote, wenzetu katika Nchi jirani wamepunguza au kufuta baadhi ya kodi katika kipindi hiki, wengine wamepunguza hadi ubora wa mafuta lakini bado bei zao ziko juu kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na sisi" -Makame

Akizungumzia mjadala unaendelea mtandaoni kuhusu upatikanaji wa mafuta na madai ya kupanda kwa bei Nchini, Makame amesema katika kupanga bei Tanzania imekuwa ikichukua wastani wa bei ya Dunia ya mwezi wa nyuma (yaani kama huu mwezi wa Saba, wanachukua wastani wa bei za Dunia za mwezi wa Sita) katika kukokotoa bei ya mwezi husika, hata hivyo amesisitiza kuwa Nchi zote zimekuwa zikitumia bei za Kimataifa moja, hivyo madai ya kwamba bei za mafuta za Tanzania zimepanda maradufu kulinganisha na mataifa mengine hazina uhalisia"Kwahiyo kwenye hili nataka niseme kwamba huu ulinganifu ambao umekuwa ukifanyika hauko sawasawa" -Makame
Ngoja kwanza nitafute tusi zuri
 
Kwenye vitu kama hivi ndio wanalinganishaga na nchi zingine
 
Wajinga waliwao.kweli sisi hatuna uongozi tuna wahuni wanaongoza nchi.pipa la mafuta ghafi sahv ni dola 62 wakati awali ilikuwa dola 150 na kabla ya vita ilikuwa dola 75.tulipaswa kuuza mafuta kwa 2500 badala ya sh 4200.
 
Wajinga waliwao.kweli sisi hatuna uongozi tuna wahuni wanaongoza nchi.pipa la mafuta ghafi sahv ni dola 62 wakati awali ilikuwa dola 150 na kabla ya vita ilikuwa dola 75.tulipaswa kuuza mafuta kwa 2500 badala ya sh 4200.
Hatuna rais na viongozi mkuu. Tuna majangili tu
 

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imefanikiwa kukabiliana na uhaba wa mafuta Nchini ambao ungetokea kufuatia vita vya Mashariki ya Kati vilivyopelekea kuadimika kwa bidhaa hiyo muhimu ya Nishati Ulimwenguni koteAkizungumza na Waandishi wa Habari, Jijini Dar es Salaam leo, Jumapili tarehe 05/07/2026,

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) Mussa Mohammed Makame amesema Tanzania haijashuhudia changamoto ya upatikanaji wa mafuta katika kipindi chote tangu kuanza kwa vita hivyo, na hiyo inakuja hata kwa kufanya ulinganifu baina ya Tanzania na mataifa jirani, hatua ambayo imetimiza lengo la kwanza la serikali la kuhakikisha Nchi haipati uhaba wa bidhaa hiyo

Soma:Sigrada Mligo: Wabunge tunalipwa hela ya mafuta kulingana na bei iliyoko sokoni siku hiyo ndio maana wabunge hawajadili kupanda kwa mafuta

Amesema lengo la pili la serikali lilikuwa ni kuhakikisha bei za mafuta zinakuwa himilivu Nchini, ambapo eneo hilo pia limefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwakuwa bei za mafuta zilizokuwepo Nchini ni za chini ukilinganisha na mataifa mengine ikiwemo mataifa jirani"Pamoja na kutoondosha kodi zote, wenzetu katika Nchi jirani wamepunguza au kufuta baadhi ya kodi katika kipindi hiki, wengine wamepunguza hadi ubora wa mafuta lakini bado bei zao ziko juu kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na sisi" -Makame

Akizungumzia mjadala unaendelea mtandaoni kuhusu upatikanaji wa mafuta na madai ya kupanda kwa bei Nchini, Makame amesema katika kupanga bei Tanzania imekuwa ikichukua wastani wa bei ya Dunia ya mwezi wa nyuma (yaani kama huu mwezi wa Saba, wanachukua wastani wa bei za Dunia za mwezi wa Sita) katika kukokotoa bei ya mwezi husika, hata hivyo amesisitiza kuwa Nchi zote zimekuwa zikitumia bei za Kimataifa moja, hivyo madai ya kwamba bei za mafuta za Tanzania zimepanda maradufu kulinganisha na mataifa mengine hazina uhalisia"Kwahiyo kwenye hili nataka niseme kwamba huu ulinganifu ambao umekuwa ukifanyika hauko sawasawa" -Makame
well done TPDC🐒
 
Malawi mafuta wanauza kwatcha yao 6306 sawa na Tsh 4100 Diesel hiyo na bei hii nilikutana nayo Mchinji..
Malawi,SA,Zambia,Botswana wana bei moja tofauti na Tanzania wezi wamepanga bei tofauti ya mafuta ila bei ya Pepsi ni moja Nchi nzima..
 
tuliza mihemko bas jukwaani na itapendeza zaidi 🐒
Wewe jamaa ni mpumbavu sana. Una tabia ya kutojibu unachoulizwa kuhusu uharo wako unaopost hapa badala yake unakimbilia kutajataja neno gentlement kama choko lenye nyege
 

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imefanikiwa kukabiliana na uhaba wa mafuta Nchini ambao ungetokea kufuatia vita vya Mashariki ya Kati vilivyopelekea kuadimika kwa bidhaa hiyo muhimu ya Nishati Ulimwenguni koteAkizungumza na Waandishi wa Habari, Jijini Dar es Salaam leo, Jumapili tarehe 05/07/2026,

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) Mussa Mohammed Makame amesema Tanzania haijashuhudia changamoto ya upatikanaji wa mafuta katika kipindi chote tangu kuanza kwa vita hivyo, na hiyo inakuja hata kwa kufanya ulinganifu baina ya Tanzania na mataifa jirani, hatua ambayo imetimiza lengo la kwanza la serikali la kuhakikisha Nchi haipati uhaba wa bidhaa hiyo

Soma:Sigrada Mligo: Wabunge tunalipwa hela ya mafuta kulingana na bei iliyoko sokoni siku hiyo ndio maana wabunge hawajadili kupanda kwa mafuta

Amesema lengo la pili la serikali lilikuwa ni kuhakikisha bei za mafuta zinakuwa himilivu Nchini, ambapo eneo hilo pia limefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwakuwa bei za mafuta zilizokuwepo Nchini ni za chini ukilinganisha na mataifa mengine ikiwemo mataifa jirani"Pamoja na kutoondosha kodi zote, wenzetu katika Nchi jirani wamepunguza au kufuta baadhi ya kodi katika kipindi hiki, wengine wamepunguza hadi ubora wa mafuta lakini bado bei zao ziko juu kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na sisi" -Makame

Akizungumzia mjadala unaendelea mtandaoni kuhusu upatikanaji wa mafuta na madai ya kupanda kwa bei Nchini, Makame amesema katika kupanga bei Tanzania imekuwa ikichukua wastani wa bei ya Dunia ya mwezi wa nyuma (yaani kama huu mwezi wa Saba, wanachukua wastani wa bei za Dunia za mwezi wa Sita) katika kukokotoa bei ya mwezi husika, hata hivyo amesisitiza kuwa Nchi zote zimekuwa zikitumia bei za Kimataifa moja, hivyo madai ya kwamba bei za mafuta za Tanzania zimepanda maradufu kulinganisha na mataifa mengine hazina uhalisia"Kwahiyo kwenye hili nataka niseme kwamba huu ulinganifu ambao umekuwa ukifanyika hauko sawasawa" -Makame
Na uchumi wa nchi nyingine hizo ukoje ukilinganisha na Bongo ?

Tulinganishe bei ya mafuta kwetu na kwao pia tulinganishe na uchumi wetu na wao
 
Wewe jamaa ni mpumbavu sana. Una tabia ya kutojibu unachoulizwa kuhusu uharo wako unaopost hapa badala yake unakimbilia kutajataja neno gentlement kama choko lenye nyege
okay,
thank you gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom