Nmeshindwa hata jinsi ya kushangaa!Wanaleta OTT Tax ya Uganda? Au?
Mshasahau tumetoka kulia na bei za mabando juzi?
Ni tsh 10-200Kwanini nasema hivyo? Kwa sababu hakuna mtu ataenda kununua vocha ya sh 1000 dukani wakati anajua kabisa atakatwa kiasi cha sh 100 au zaidi wakati huohuo hakuna kifurushi cha sh 900.
Hayo yanajiri ktk marekebisho ya sheria kama kiambatanisho hapa chini kitakavyo onesha.
Sisi ni watu wa kuiga karibu kila kitu na sio na sisi tubuni na wenzetu waige kutoka kwetu.ni heri waweke sheria kama huna kifurushi, simu/sms haziingii, hii itapunguza ghost sim cards na hasara kwa makampuni ya simu! Baadhi ya nchi iko hivo kwa wale wakaa hewani bila vocha inakua imekula kwao
Something is wrong here.
Ni kweli na sijui kwann tuko hivoSisi ni watu wa kuiga karibu kila kitu na sio na sisi tubuni na wenzetu waige kutoka kwetu.
Itatozwaje au kukatwaje hii!?Ni tsh 10-200
Kwani serikali hawana njia nyingine ya kuongeza mapato? Punguzeni marupurupu ya vigogo wa serikali kuanzia wabunge. Simpo.Kwanini nasema hivyo? Kwa sababu hakuna mtu ataenda kununua vocha ya sh 1000 dukani wakati anajua kabisa atakatwa kiasi cha sh 100 au zaidi wakati huohuo hakuna kifurushi cha sh 900.
Hayo yanajiri ktk marekebisho ya sheria kama kiambatanisho hapa chini kitakavyo onesha.