GAGL JF-Expert Member Aug 5, 2010 390 395 Nov 24, 2021 #1 Kuna mtu anahitaji Toyota Noah, roadtour yenye namba C au D. Ana kianzio cha shilingi mil tano, nyingine atamalizia baadae. Kama unayo au kuna mtu anayo anataka kuisukuma, tafadhali, weka namba zako hapa, utapigiwa simu.
Kuna mtu anahitaji Toyota Noah, roadtour yenye namba C au D. Ana kianzio cha shilingi mil tano, nyingine atamalizia baadae. Kama unayo au kuna mtu anayo anataka kuisukuma, tafadhali, weka namba zako hapa, utapigiwa simu.
T TEMBO WANGU JF-Expert Member Feb 21, 2014 929 1,277 Nov 25, 2021 #5 Mimi ninayo etra limited ni number DR, mpyaaa.....injiji kinanda, inabeba watoto WA shule, nataka 13.5million, Mimi ndie mwenyewe
Mimi ninayo etra limited ni number DR, mpyaaa.....injiji kinanda, inabeba watoto WA shule, nataka 13.5million, Mimi ndie mwenyewe