Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Nahitaji Toyota Noah New Model ambayo haijawahi pata ajali, isiwe inadaiwa, isiwe imesha funguliwa gearbox. Namba iwe C a D Bajeti yangu mil6-6.9
Ongezea pesa ifike 10 m nikuachie ya kwanguNahitaji Toyota Noah New Model ambayo haijawahi pata ajali, isiwe inadaiwa, isiwe imesha fnguliwa gearbox. Namba iwe C a D Bajeti yangu mil6-6.9
Mkuu nenda leo kaulizie noa cr 40 super extra limited, inauzwa ngappi.....unaambiwa 17m , na pia hazipatikani,zunguka yard zote uoneduuh mkuu TEMBO WANGJ,yakobumetumia miaka miwili hapa Tz na baoo unataka bei hiyo si bora kuagiza maana bei ndo hizo hizo