Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 636
- 540
- Thread starter
- #321
Kuna mbegu za matango ambazo huwa tunaleta Na kuuza ambazo pia ndio Mimi nazitumia katika shamba langu ambazo zinakupa matango zaidi ya 20 kwa mche kwa msimu mzima Wa mwezi Na nusu
Mbegu hizi nimeleta paketi chache. Kwa anayehitaji anipigie 0758 308 193 bei ni sh 115,000
Uzuri Wa kulima matango ni kuwa kwa kuwa msimu wake ni Wa mudafupi inakupa nafasi ya kupata kipato cha haraka wakati ukisubiria nyanya kuwa tayari kuvuna kwani nyanya kutumia muda mrefu kuwa tayari kuuzwa
Mbegu hizi nimeleta paketi chache. Kwa anayehitaji anipigie 0758 308 193 bei ni sh 115,000
Uzuri Wa kulima matango ni kuwa kwa kuwa msimu wake ni Wa mudafupi inakupa nafasi ya kupata kipato cha haraka wakati ukisubiria nyanya kuwa tayari kuvuna kwani nyanya kutumia muda mrefu kuwa tayari kuuzwa