Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 636
- 540
- Thread starter
- #361
Mhhh sijui nna ukata wa matukio flani au nini ili nimependa sauti ya mwenye video🙈🙈
Thanks
Mhhh sijui nna ukata wa matukio flani au nini ili nimependa sauti ya mwenye video🙈🙈
vp mkuu darasa la moshi tayari?
Nimekuwa nikipokea simu nyingi sana watu wakiulizia kuhusu ule mfano niliotoa hapo juu kuhusu ni jinsi gani unaweza pata laki saba kwa mwezi. Swali hasa limekuwa likielekezwa kwenye mtaji. Wanaulizia ni mtaji kiasi gani utauhitaji wakati unaanza. Kama eneo lako ushafanya utaratibu wa kupata maji tuseme hauna maji ktk eneo lako ia unaletewa na mkokoteni na kuyahifadhi kwenye pipa, Zaidi ya hapo utahitaji sh. 150,000 ambayo watu wengi wanaweza kuimudu
Bosi squre mita 25 (5x5) inatoa miche 36 tu na sio miche 100.Ngoja nikupe mfano. Tuseme unaishi katika nyumba ambayo kwa upande wa nyuma una eneo ambalo lina ukubwa wa upana hatua tano na urefu vile vile. Hivyo 5 x 5 = 25 square meter. Katika kila square meter 1 unapanda miche 4 hivyo x 25 ni miche 100. Kila mche unakupa kilo 15 yaani sawa na ndoo moja na nusu ya nyanya kwa mwezi. Bei ya shambani ukiamua kufanya mia tano x 15 ni sh. 7,500 kwa kila mche kwa mwezi. 7,500 x miche 100 = sh. 750,000 kwa mwezi. Je kwa miezi nane ya uvunaji itakuaje? 6,000,000. Na hii ni bila greenhouse
Je utaendelea kunyanyaswa na bosi wako ulipoajiriwa na kuendelea kumtajirisha mpaka lini?