Hiyo mbegu yako mbona huitaji jina lake umekomaa tu "hii yangu"Kwanza kabisa nadhani aliyekwambia gh hiyo inakaa miche mia nne amekudanganya. Huwa inakaa miche 300 ikiwa imejaa. Inategemea mbegu gani unatumia, km unatumia km hii yangu unapata ndo moja na nusu kwa mwezi ktk mche mmoja. 1.5 x 300 ni kilo 450 kwa mwezi x miezi nane ni kilo 3600
Mkuu na mm naomba nitumie hyo formula kwa email sajidshabani@yahoo.comKama unahitaji kuifahamu formula hii gharama yake ni 20,000 ambayo hiyo formula nakutumia popote ulipo kwa njia ya email
Number yangu 0717154277 hata kwa wasap waweza nitumia mkuu nitafarijika sana mkuuKama unahitaji kuifahamu formula hii gharama yake ni 20,000 ambayo hiyo formula nakutumia popote ulipo kwa njia ya email
Mkuu habari yako,na mm nimeipenda hyo formula naomba nitumie kwa email sajidshabani@gmail.com, number Yangu ni 0717154277Yaani naona JF inanipa raha. Mkuu Biashara2000 nimekucheki inbox, twende kazi
Nimepata hamasa ya kufanya hichi kilimo cha nyanya. Ningependa kujua kama nyanya ili kustawi zinahitaji udongo wa aina gani? Eneo kama Kibaha is it favourable?
Mkuu nimesikia kuna mbegu inaitwa al jazeera eti ni nzuri, je una uzoefu nayo? uzao wake ukoje? Na gharama za kumtembelea mkulima ni sh ngapi kwa sasa?
Udongo unapimwa wapi kwa kibaha mana nina eneo la wastani kila nipata mazao mavuno yanaku duni mno ama hayatoki kuna ndugu akaniambia kuna uwezekano wa chumvi ama magadi hivyo nikapime ila ndio hajui gharama wala ni wapi:!Eneo la kibaha na Dar yanafaa kabisa. Hiyo video ya shamba langu niliirekodia katika shamba langu la kibaha. Actually nyanya inastawi katika aina za udongo zote katika nchi hii, cha msingi lazima upime udongo wako kwanza kujua Ph yake na kujua ni kiwango kiasi gani cha mbolea inahitajika kuweka. Huweki tu mbolea kwa kuwa kuna ardhi inabidi iwe na kiwango chake kulingana na udongo wa eneo husika
Mi nipo Kagera, ila nikija Dar itabidi nikutafute nipate elimu. Ila bei ya nyanya huku Kagera ni sh. 600 hadi 800 kwa kilo. Nitatoboa kweli? Je kinacholimwa kwenye green house ni nyanya tu?.Mwaka ndio unaelekea mwishoni kuingia mwaka mpya. Km ulikuwa na mpango wa kuanzisha shamba je, mpango umefikia wapi? na kwa mwaka huu umefanya nn? Je, utaendelea kusubiri hadi lini? Anza sasa ili ikifika mwakani km sasa uwe umefika mbali
Kibaha upo maeneo gani mkuu nipo miembe7 nataka kukutembelea
Biashara 2000, kwa sasa huku kwetu mvua zinakaribia kuanza je naweza kupanda hiyo mbegu au nisubiri hadi mvua zikate?