Mkuu unaharibu thread!
Kwa vigezo vya Allien haajafikia TBS! Afadhali hata brother wake!
Hahahahaaa, kweli wimbo wa Ngurumo na Bichuka unafaa hapa "Mwenye mapenzi haoni, ingawa macho anayo."
Sawa bana, kama January Makamba ni nafuu, ngoja niwe Kunguru Mwoga na nikimbize bawa langu 🙂
Lundenga wa JFAllien I wish ningekuwa nakufahamu wewe na Mkeo/Mpenzio ili nimuone jinsi alivyo mzurii na mrembo... Sababu kaka (if you are) you have an eye for em' pretty ladies na unastahili pongezi. Nahisi katika reality mwanamke ambaye hana mvuto hata akiwa mbele yako humuoni kabisaaa... Lol.
Bora mimi sijasema! BTW kwa ni nani huyo?
Sikonge, shindano linaandaliwa kiuhalisia I mean Miss Bantu 2013, Kaa mkao wa kula. Mbavu za Mjomba Lundenga hazina soko tena, wadau wanataka nyama nyama ile ya ukweli!Ni dada yake January Makamba. Anyway, tusibadili mjadala. Lete mapicha tufaidi Mwanawane. Ila nayasubiri ma Miss Bantu ya Tanzania.