Full Moon
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 346
- 122
Mkuu hukuiona hii?:
Tujibu na swali lake!
Mkuu kwahiyo unataka kusema beauty is in the eyes of beholder?
ahahahahhahahhahahhahahhahaahahha pole sana bana!
imouta ya league!
si kila siku nakwambia nimeangukia kinyume nyume af pia nikageukia upande upande pata picha mwenyewe!
ahahhahahahahhahha pana chezeya kabisa teiyst ya Allien utanifanya nitafuta jhni tao hwa oh!
ngoja nipitishe bakuli! SnowBall pach wangu naadhirika huku patia mimi mbesa niende hu jhni tao kupata hii fasi ya kidate na Allien mwaJ patia mimi access ya hilo licurve lako na mimi jamani loh!sio unaishia kugonga like tu mwanzo mwisho ilhali unajua mwendhio naumia huku!loh!
Yaani snowhite nimecheka saaaanaa! Nacheka mpaka nakosa cha kuandika! Hapa nilipo nashindwa kudanganya maana Allien ni jirani yangu huku space town! Mie kama yeye nafurahia kuona mabinti warembo thats all. Sina curve yoyote labda kama unataka nikuazime namba 1! Lol!
Btw, huna haja ya kuumia wala kwenda kutafuta jhni ntao hwa hong maana pasipo na curve pana urembo mwingine. Kila binti ana urembo wake best. We jitose tu kwenye li-date la Allien atakubali mwenyewe! Ha ha ha haaaaaaaa!
Allien I wish ningekuwa nakufahamu wewe na Mkeo/Mpenzio ili nimuone jinsi alivyo mzurii na mrembo... Sababu kaka (if you are) you have an eye for em' pretty ladies na unastahili pongezi. Nahisi katika reality mwanamke ambaye hana mvuto hata akiwa mbele yako humuoni kabisaaa... Lol.
Nakubaliana na wewe mkuu!Ndio maana yake mkuu