Totoz Kali Za Bongo! Approved By Allien!

Totoz Kali Za Bongo! Approved By Allien!

Sadie6.jpg
 
Ukimuona Mke wake unaweza kushangaa (kama ameowa). Watu kama hawa ni watu wanaojua sana kutenganisha KAZI na FAMILIA. Wengi (siyo wote) ya hao akina dada siyo Wife Material na watu kama Allien huwa ni wajuzi sana wa kujua vitu kama hivyo. Unakuja kumkuta mke wake ni mama wa kawaida kabisa ila jamaa ndiyo yuko Happy vibaya sana kwa sababu yule ni MKE kweli na siyo CD aliyerembeshwa na kuvishwa ngozi ya MKE.

Hebu fikiria siku unaoa/kuolewa na Mwenza wako anaamua kukumbushia upande wa pili: https://www.youtube.com/watch?v=R9Li0WhWvQg
Allien I wish ningekuwa nakufahamu wewe na Mkeo/Mpenzio ili nimuone jinsi alivyo mzurii na mrembo... Sababu kaka (if you are) you have an eye for em' pretty ladies na unastahili pongezi. Nahisi katika reality mwanamke ambaye hana mvuto hata akiwa mbele yako humuoni kabisaaa... Lol.
 
Salalaaa!! Acha tule kwa macho mwe!


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
"mabata ushungu mimi"


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Allien u are the man, u got great taste, nakuaminia mbaya mkuu
 
Last edited by a moderator:
Mie bana nipo huku SIKONGE ni mbali sana na hayo mashindano yenu ya LAANA (Sheik wa Miss Bantu).

Nikifanikiwa basi sanasana ntaangalia tu kwenye TV ya jirani kama atakubali. Kama ikitokea niwepo mjini basi lazima niwe kiti cha mbele kabisa. Kama nikikosa cha mbele basi ntafika na KIONA MBALI changu mfukoni kama wanavyofanya kwenye Big Theatre watazamaji VIP.
Sikonge, shindano linaandaliwa kiuhalisia I mean Miss Bantu 2013, Kaa mkao wa kula. Mbavu za Mjomba Lundenga hazina soko tena, wadau wanataka nyama nyama ile ya ukweli!

Utakuwa Judge au Mtazamaji?
 
Mie bana nipo huku SIKONGE ni mbali sana na hayo mashindano yenu ya LAANA (Sheik wa Miss Bantu).

Nikifanikiwa basi sanasana ntaangalia tu kwenye TV ya jirani kama atakubali. Kama ikitokea niwepo mjini basi lazima niwe kiti cha mbele kabisa. Kama nikikosa cha mbele basi ntafika na KIONA MBALI changu mfukoni kama wanavyofanya kwenye Big Theatre watazamaji VIP.

Mkuu wewe na yule Sheikh wako mnaopenda waliojazia jazia mtapewa ticket za Complimentary. Pia usafiri wa kutoka Sikonge na malazi.

Stay tuned ni kweli vijana wameshaanza mchakato wa kuliandaa.

Ila moja ya sharti Mdada hatakiwi kuwa na Kitambi wala nyuma uzembe! watu wanataka Kuona Curves bana! Kwa raha zenu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom