mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Topical,Kipeng'e,Jk wa ukweli,Malaria sugu,Kashaga,Zubeda na wengineo wanaofanana na mitazamo kama ya hawa watu.
Siyo siri hawa jamaa wanakera ni balaaa......yaani hawa jamaa wako against kwa kila kitu!. Imetokea umetuma topic yako hapa jamvini alafu iingiliwe na mmoja kati ya hawa jamaa,basi ujue hiyo topic yako haitajibiwa tena na macommenter....badala yake macommenter wote watakuwa busy kujibu upupu wa hawa jamaa tu na kutoka nje ya mada. Yaani hawa jamaa kwenye...YES....watasema.....NO....na kwenye....NO....watasema....YES. Yaani ni watu wa fujo na maneno ya kutia hasira kupita kiasi. Hivi wanaJF kunafaida yoyote kuchangia kwenye topic au comment za hawa watu? Au kuna faida flani tunapochangia kwenye comment zao za ki uzushi uzushi?.
Nakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo -: Ahsanteni
Siyo siri hawa jamaa wanakera ni balaaa......yaani hawa jamaa wako against kwa kila kitu!. Imetokea umetuma topic yako hapa jamvini alafu iingiliwe na mmoja kati ya hawa jamaa,basi ujue hiyo topic yako haitajibiwa tena na macommenter....badala yake macommenter wote watakuwa busy kujibu upupu wa hawa jamaa tu na kutoka nje ya mada. Yaani hawa jamaa kwenye...YES....watasema.....NO....na kwenye....NO....watasema....YES. Yaani ni watu wa fujo na maneno ya kutia hasira kupita kiasi. Hivi wanaJF kunafaida yoyote kuchangia kwenye topic au comment za hawa watu? Au kuna faida flani tunapochangia kwenye comment zao za ki uzushi uzushi?.
Nakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo -: Ahsanteni