Topical,Kipeng'e,Jk wa ukweli,malaria sugu,Kashaga,Zubeda nk.

mshikachuma

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
2,853
626
Topical,Kipeng'e,Jk wa ukweli,Malaria sugu,Kashaga,Zubeda na wengineo wanaofanana na mitazamo kama ya hawa watu.
Siyo siri hawa jamaa wanakera ni balaaa......yaani hawa jamaa wako against kwa kila kitu!. Imetokea umetuma topic yako hapa jamvini alafu iingiliwe na mmoja kati ya hawa jamaa,basi ujue hiyo topic yako haitajibiwa tena na macommenter....badala yake macommenter wote watakuwa busy kujibu upupu wa hawa jamaa tu na kutoka nje ya mada. Yaani hawa jamaa kwenye...YES....watasema.....NO....na kwenye....NO....watasema....YES. Yaani ni watu wa fujo na maneno ya kutia hasira kupita kiasi. Hivi wanaJF kunafaida yoyote kuchangia kwenye topic au comment za hawa watu? Au kuna faida flani tunapochangia kwenye comment zao za ki uzushi uzushi?.
Nakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo -: Ahsanteni
 
Taarifa za Kiintelijensia zilisema huu mtandao JF umeingiliwa na watoto wa Mafisadi..halafu Mafisadi wakubwa yaani baba zao wapo kwenye Magazeti na Ma-TV....hao uliowataja ni baadhi tu,wapo wengi
 
Taarifa za Kiintelijensia zilisema huu mtandao JF umeingiliwa na watoto wa Mafisadi..halafu Mafisadi wakubwa yaani baba zao wapo kwenye Magazeti na Ma-TV....hao uliowataja ni baadhi tu,wapo wengi
Sasa tufanyaje kuondokana na hawa watu?
 
Topical,Kipeng'e,Jk wa ukweli,Malaria sugu,Kashaga,Zubeda na wengineo wanaofanana na mitazamo kama ya hawa watu.
Siyo siri hawa jamaa wanakera ni balaaa......yaani hawa jamaa wako against kwa kila kitu!. Imetokea umetuma topic yako hapa jamvini alafu iingiliwe na mmoja kati ya hawa jamaa,basi ujue hiyo topic yako haitajibiwa tena na macommenter....badala yake macommenter wote watakuwa busy kujibu upupu wa hawa jamaa tu na kutoka nje ya mada. Yaani hawa jamaa kwenye...YES....watasema.....NO....na kwenye....NO....watasema....YES. Yaani ni watu wa fujo na maneno ya kutia hasira kupita kiasi. Hivi wanaJF kunafaida yoyote kuchangia kwenye topic au comment za hawa watu? Au kuna faida flani tunapochangia kwenye comment zao za ki uzushi uzushi?.
Nakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo -: Ahsanteni

wengine wote wanaiga. ila malaria sugu ni mtambo. hata mimi namkubali. jabo huwa anapost pumba, siku zote huwa najisikia burdan kusoma post zake. pumba zinazonifanya nicheke husaidia hata kujenga afya yangu.

bravo malaria sugu.

the rest uliowataja ni mavuvuzela tu.
 
Mshikachuma! Mbona kkundi cha hao mabinti tunakifahamu... So Wapoteze tu hao mabint walisharambwa, hawana issue, wametumwa hao!
 
hakun haja ya kuondokana nao wala kuwaogopa cha muhimu ni kuendelea kuchakata hoja tena penye ukweli tunaweka wazi ili wajue sisi hatuwaogopi mafisadi wanaoota vitambi kwa pesa zetu
 
wengine wote wanaiga. ila malaria sugu ni mtambo. hata mimi namkubali. jabo huwa anapost pumba, siku zote huwa najisikia burdan kusoma post zake. pumba zinazonifanya nicheke husaidia hata kujenga afya yangu.

bravo malaria sugu.

the rest uliowataja ni mavuvuzela tu.
Mmmh.....Mkuu umenivunja mbavu sana.....unamfagilia malaria sugu? Unajuaje labda topical,kupeng'e ndiye huyo huyo malaria sugu?
 
Topical,Kipeng'e,Jk wa ukweli,Malaria sugu,Kashaga,Zubeda na wengineo wanaofanana na mitazamo kama ya hawa watu.
Siyo siri hawa jamaa wanakera ni balaaa......yaani hawa jamaa wako against kwa kila kitu!. Imetokea umetuma topic yako hapa jamvini alafu iingiliwe na mmoja kati ya hawa jamaa,basi ujue hiyo topic yako haitajibiwa tena na macommenter....badala yake macommenter wote watakuwa busy kujibu upupu wa hawa jamaa tu na kutoka nje ya mada. Yaani hawa jamaa kwenye...YES....watasema.....NO....na kwenye....NO....watasema....YES. Yaani ni watu wa fujo na maneno ya kutia hasira kupita kiasi. Hivi wanaJF kunafaida yoyote kuchangia kwenye topic au comment za hawa watu? Au kuna faida flani tunapochangia kwenye comment zao za ki uzushi uzushi?.
Nakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo -: Ahsanteni

Ingawaje unaonesha kukosa uvumilivu wa kuhimili hoja tofauti na unachokiamini na kuonyesha udikteta wa kutaka kulazimisha watu wote wawe na mawazo sawa na wewe, lakini mwisho wa post yako umemalizia vizuri hapo kwenye RED!! jee ni kweli unakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo?

Kama uko tayari inakuaje tena kutulaumu sisi tunaogongana na nyinyi kimawazo na kimtazamo? mbona unajichanganya?
 
Mshikachuma! Mbona kkundi cha hao mabinti tunakifahamu... So Wapoteze tu hao mabint walisharambwa, hawana issue, wametumwa hao!
Mkuu Pompo.....hawa watu ni noma ile mbaya!.....yaani wakiingia kwenye topic yako tu....ujue hiyo mada ni kwishney.
Hawa ni virus wa JF
 
Ingawaje unaonesha kukosa uvumilivu wa kuhimili hoja tofauti na unachokiamini na kuonyesha udikteta wa kutaka kulazimisha watu wote wawe na mawazo sawa na wewe, lakini mwisho wa post yako umemalizia vizuri hapo kwenye RED!! jee ni kweli unakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo?

Kama uko tayari inakuaje tena kutulaumu sisi tunaogongana na nyinyi kimawazo na kimtazamo? mbona unajichanganya?
Tatizo lenu ninyi kila kitu mnakuwa wabishi tuuu.....hata penye ukweli mnapageuza kuwa ni uongo....
 
Mmmh.....Mkuu umenivunja mbavu sana.....unamfagilia malaria sugu? Unajuaje labda topical,kupeng'e ndiye huyo huyo malaria sugu?

Kwa kweli hata mimi malaria sugu pindipo anapofungiwa nahisi kama jukwaa limepooza, jamaa ana pumba-dawa hassa! Huwa nasoma post zake ili kurefresh-kucheka na keyboard siyo jambo simple bana. In short malaria sugu mtambo bana!
 
Topical,Kipeng'e,Jk wa ukweli,Malaria sugu,Kashaga,Zubeda na wengineo wanaofanana na mitazamo kama ya hawa watu.
Siyo siri hawa jamaa wanakera ni balaaa......yaani hawa jamaa wako against kwa kila kitu!. Imetokea umetuma topic yako hapa jamvini alafu iingiliwe na mmoja kati ya hawa jamaa,basi ujue hiyo topic yako haitajibiwa tena na macommenter....badala yake macommenter wote watakuwa busy kujibu upupu wa hawa jamaa tu na kutoka nje ya mada. Yaani hawa jamaa kwenye...YES....watasema.....NO....na kwenye....NO....watasema....YES. Yaani ni watu wa fujo na maneno ya kutia hasira kupita kiasi. Hivi wanaJF kunafaida yoyote kuchangia kwenye topic au comment za hawa watu? Au kuna faida flani tunapochangia kwenye comment zao za ki uzushi uzushi?.
Nakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo -: Ahsanteni
huu ni upuuzi,nonsense na crap kwani umekosa cha kuongea dogo? mbona kuna mambo mengi ya kuongelea,acha ushamba we kama hutaki kucomment kaa kimya ila sisi mwanzo mwisho tutatoa hoja zenye kuwagusa hadi kieleweke kwani JF ndo mahali pa kila mtu bila kujali itikadi kutoa dukuduku lake! hapa ndo nimeanza mbona bado???/ALUTA CONTINUA
 
huu ni upuuzi,nonsense na crap kwani umekosa cha kuongea dogo? mbona kuna mambo mengi ya kuongelea,acha ushamba we kama hutaki kucomment kaa kimya ila sisi mwanzo mwisho tutatoa hoja zenye kuwagusa hadi kieleweke kwani JF ndo mahali pa kila mtu bila kujali itikadi kutoa dukuduku lake! hapa ndo nimeanza mbona bado???/ALUTA CONTINUA
Nimeipenda hiyo sighnecha yako....maana imenisaidia kufahamu kuwa wewe ni mtu wa aina gani.
 
Back
Top Bottom