Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,282
- 7,379
Habari wakuu
Naomba niweke wazi hili , Mimi nafatilia sana music wa Bongo kwa ujumla tangu mwaka 2001 mpaka sasa
Napendelea zaidi Music wa Hiphop hvyo basi wasanii wengi wa hiphop bongo nimekua nikifuatilia sana ngoma zao za kipindi hiko na hata sasa
Hapa Tanzania tumebarikiwa vipaji vingi sana vya wasanii wa ku rap lakini ni wachache sana ukiwasikiliza word to word ukute wame stick kwenye topic husika kutokana na jina la nyimbo husika
Kwa uchunguzi wangu hii ni list ya Wasanii wachache nliowafuatilia na kuona uwezo wao wa ku stick kwenye topic husika ya nyimbo
Albert Mangwea
The late Albert Mangwea ni genious , tangu naanza kumskiliza kwenye "Ghetto Langu mpaka No beef ft TID , hakuwahi kutoka out of topic kwenye ngoma zake alizofanya mwenyewe hata alizo shirikishwa
LANGA ( Lyrical And Natural Gifted in Africa)
Huyu jamaa naye Tangu kwenye Wakilisha mpaka project zake kama solo artist ameweza ku maintain uandishi wake kwa kustick na topic husika iliyopo mezani
Mfano ngoma kama Ni Hayo tuu aliyoshirikishwa na FID Q aliweza sana ku stick na topic iliyokua inayongelewa mpaka mwisho wa verse
Hata hizi ngoma mbili alizoachia za mwisho Supply & Rafiki wa kweli ukiziskiliza utanielewa
Jay Moe
Juma mchopanga Kwanza jamaa ni super talented sema design kama wabongo hawajamuelewa sana, jamaa ana uwezo mkubwa sana wa ku stick na topic inayozungumziwa
Tangu naanza kumskia miaka ya 2001 mpaka sasa ngoma zake zote zimestick kwenye topic husika na hii ndo maana halisi ya Msanii
Afande sele
Huyu Mfalme wa rymes ,naye uandishi wake ume base kwenye kuandika kutokana na topic husika
Sikiliza ngoma kama , Mkuki moyoni, Dunia ina mambo, Simba Dume,
Au ngoma alizo shirikishwa kama
Elimu dunia ya Daz baba, Swahiba ya jebby utaweza kuelewa nnachokizungumza
Proffessor Jay
Huyu Kwangu ni Godfather wa Music wa bongo fleva, tangu naanza kumsikia mpaka sana huwez kukuta ngoma yoyote yuko off topic
Mwana FA
FA naye ni bingwa wa ku stick kwenye topic kwenye uandishi wake ,
Hao ni baadhi tuu ya wasanii wenye uwezo mkubwa ku stick kwenye topic
Kwa upande mwingine kuna wasanii wana flow kali , wana panchline lakini ukiwaskiliza Jina la nyimbo na verse haviendani kabisa , yani wanauwezo wa kuandika lakini wanavyoviandika haviendani na topic husika , hawa sometimes wana stick kwenye topic , sometimes wanakua off topic
FID Q
Huyu jamaa wengi hupenda kumuita conscious hata mimi nakubali jamaa yuko deep kwenye uandishi, Lakini moja kati ya weakness kubwa kwa huyu jamaa ni uwezo wa kustick kwenye topic husika
Niwape mfano kwenye wimbo wa CNN Ngwea ft FID Q licha ya Jamaa kukiri mwenyewe ilibidi afute verse aandike nyingine bado alikua OFF TOPIC
Ngoma ilikua inazungumzia kukesha na ku part lakini ukiskiliza verse ya FID Q ilikua out of topic kabisa yan jamaa alijisifia tuu
Kwa kifupi huyu jamaa ngoma zake huwa anaongea vitu vingi sana lakini unakuta jina na kilichondani ya nyimbo haviendani
Ngoma ambayo kidogo ali stick kwenye topic ni Sihitaji marafiki
Chidibenz
Huyu Mfalme wa Ilala ni mkali wa flow na punch lakini kwenye ku stick kwenye topic ni zero kabisa , huwa nashangaa watu wanaosema jamaa anajua freestyle hichi kitu nakipinga coz jamaa freestyle zake nyingi hata ukiskiliza hazina maana , ni kama anatafuta maneno yatakayo leta vina tuu hata kama hayana maana
Lord eyez
Jamaa kwa flow na punch yuko vizur lakini ukiskiliza verse zake word to word utagundua huyu jamaa naye ni wale wale wa kuandika tuu kuunganisha maneno ila ku stick kwenye topic jamaa hawezi
Hawa ni baadhi tuu lakini wapo wengi nimekosa muda ningewaelezea
Note
Haya ni maoni binafsi
Naomba niweke wazi hili , Mimi nafatilia sana music wa Bongo kwa ujumla tangu mwaka 2001 mpaka sasa
Napendelea zaidi Music wa Hiphop hvyo basi wasanii wengi wa hiphop bongo nimekua nikifuatilia sana ngoma zao za kipindi hiko na hata sasa
Hapa Tanzania tumebarikiwa vipaji vingi sana vya wasanii wa ku rap lakini ni wachache sana ukiwasikiliza word to word ukute wame stick kwenye topic husika kutokana na jina la nyimbo husika
Kwa uchunguzi wangu hii ni list ya Wasanii wachache nliowafuatilia na kuona uwezo wao wa ku stick kwenye topic husika ya nyimbo
Albert Mangwea
The late Albert Mangwea ni genious , tangu naanza kumskiliza kwenye "Ghetto Langu mpaka No beef ft TID , hakuwahi kutoka out of topic kwenye ngoma zake alizofanya mwenyewe hata alizo shirikishwa
LANGA ( Lyrical And Natural Gifted in Africa)
Huyu jamaa naye Tangu kwenye Wakilisha mpaka project zake kama solo artist ameweza ku maintain uandishi wake kwa kustick na topic husika iliyopo mezani
Mfano ngoma kama Ni Hayo tuu aliyoshirikishwa na FID Q aliweza sana ku stick na topic iliyokua inayongelewa mpaka mwisho wa verse
Hata hizi ngoma mbili alizoachia za mwisho Supply & Rafiki wa kweli ukiziskiliza utanielewa
Jay Moe
Juma mchopanga Kwanza jamaa ni super talented sema design kama wabongo hawajamuelewa sana, jamaa ana uwezo mkubwa sana wa ku stick na topic inayozungumziwa
Tangu naanza kumskia miaka ya 2001 mpaka sasa ngoma zake zote zimestick kwenye topic husika na hii ndo maana halisi ya Msanii
Afande sele
Huyu Mfalme wa rymes ,naye uandishi wake ume base kwenye kuandika kutokana na topic husika
Sikiliza ngoma kama , Mkuki moyoni, Dunia ina mambo, Simba Dume,
Au ngoma alizo shirikishwa kama
Elimu dunia ya Daz baba, Swahiba ya jebby utaweza kuelewa nnachokizungumza
Proffessor Jay
Huyu Kwangu ni Godfather wa Music wa bongo fleva, tangu naanza kumsikia mpaka sana huwez kukuta ngoma yoyote yuko off topic
Mwana FA
FA naye ni bingwa wa ku stick kwenye topic kwenye uandishi wake ,
Hao ni baadhi tuu ya wasanii wenye uwezo mkubwa ku stick kwenye topic
Kwa upande mwingine kuna wasanii wana flow kali , wana panchline lakini ukiwaskiliza Jina la nyimbo na verse haviendani kabisa , yani wanauwezo wa kuandika lakini wanavyoviandika haviendani na topic husika , hawa sometimes wana stick kwenye topic , sometimes wanakua off topic
FID Q
Huyu jamaa wengi hupenda kumuita conscious hata mimi nakubali jamaa yuko deep kwenye uandishi, Lakini moja kati ya weakness kubwa kwa huyu jamaa ni uwezo wa kustick kwenye topic husika
Niwape mfano kwenye wimbo wa CNN Ngwea ft FID Q licha ya Jamaa kukiri mwenyewe ilibidi afute verse aandike nyingine bado alikua OFF TOPIC
Ngoma ilikua inazungumzia kukesha na ku part lakini ukiskiliza verse ya FID Q ilikua out of topic kabisa yan jamaa alijisifia tuu
Kwa kifupi huyu jamaa ngoma zake huwa anaongea vitu vingi sana lakini unakuta jina na kilichondani ya nyimbo haviendani
Ngoma ambayo kidogo ali stick kwenye topic ni Sihitaji marafiki
Chidibenz
Huyu Mfalme wa Ilala ni mkali wa flow na punch lakini kwenye ku stick kwenye topic ni zero kabisa , huwa nashangaa watu wanaosema jamaa anajua freestyle hichi kitu nakipinga coz jamaa freestyle zake nyingi hata ukiskiliza hazina maana , ni kama anatafuta maneno yatakayo leta vina tuu hata kama hayana maana
Lord eyez
Jamaa kwa flow na punch yuko vizur lakini ukiskiliza verse zake word to word utagundua huyu jamaa naye ni wale wale wa kuandika tuu kuunganisha maneno ila ku stick kwenye topic jamaa hawezi
Hawa ni baadhi tuu lakini wapo wengi nimekosa muda ningewaelezea
Note
Haya ni maoni binafsi