Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Ganda la ushuru

Senior Member
Joined
Mar 18, 2020
Posts
132
Reaction score
112
Salaam wana jamvi,

Matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaendelea. Straight to the point, tukumbuke enzi za kitabu, kiukweli kuna topic ziliwahi nisumbua wakati nasoma moja wapo ilikuwa ni Electromagnetism na Co-ordinate II, share na wewe topic ambazo zilikuwa pasua kichwa kwako.
 
Salaam wana jamvi, matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaendelea . Straight to the point,tukumbuke enzi za kitabu, kiukweli kuna topic ziliwahi nisumbua wakati nasoma moja wapo ilikuwa ni Electromagnetism na Co-ordinate II ,share na wewe topic ambazo zilikuwa pasua kichwa kwako
Nadhani wengi tuliopita advance na tuliosoma Physics ngoma ngumu ilikua Rotation of rigid bodies
 
Salaam wana jamvi, matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaendelea . Straight to the point,tukumbuke enzi za kitabu, kiukweli kuna topic ziliwahi nisumbua wakati nasoma moja wapo ilikuwa ni Electromagnetism na Co-ordinate II ,share na wewe topic ambazo zilikuwa pasua kichwa kwako
Kwenye kiswahili kuna mambo ya ngeli zile mambo za ki-vi cjui pamuku i-vi. Mpaka leo cjazijua na sitaki kuzijua
 
Wave Part 2 A level mamaee...nkasema liwaloo na liweee sikugusa hata defn.

O level Account walahi mpaka nikaona wanaosoma Biashara ni wachawiii mambo ya credit sijui debt duu nilisota nazo sikuelewa nilikuja kuelewa Chuo tena mwaka wa mwisho nkagundua tatizo sio soma tatizo aliekuwa ananifundisha nae alikuwa amekariri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Density form one..kiingereza sikijui halafu unaniambia mass b to a mass a. Naijulia wapi? Nilichukia physics hapo nilitoka na c mwishoni
Daa miaka hiyo form one nakumbuka wiki ya pili tu baada ya kuripoti niliandikwa kama main speaker kwenye debate , kiingereza chenyewe cha kuvutavuta aisee .........siamini lakini hatimaye siku iliisha........
GLU™
 
Mambo ya vitabu somo la kiswahili(kiswaz) sijawahi kuelewa kabisa! OLevel sijawahi jibu swali linalohusu vitabu na A level pia. Ila chakushangaza sijawahi kukosa credit(C-B).

5/5
 
Wave Part 2 A level mamaee...nkasema liwaloo na liweee sikugusa hata defn.

O level Account walahi mpaka nikaona wanaosoma Biashara ni wachawiii mambo ya credit sijui debt duu nilisota nazo sikuelewa nilikuja kuelewa Chuo tena mwaka wa mwisho nkagundua tatizo sio soma tatizo aliekuwa ananifundisha nae alikuwa amekariri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na bora usi deal na Roger Muncaster au Tom Duncan.
GLU™
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom