THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
ukisema utaratibu wa ukanda unakuwa unamaanisha nini?
waulize wana uwakilishi kanda ya kusini??i mean lindi na mtwara na vitongoji vyake?
Waulize ni kiongozi gani wa ngazi ya juu kichama anaetokea kanda hii?
Nashukuru kwa kulielewa hilo la udini na ukabila kwa maana hujaniuliza