Top 5 ya urais 2015

Top 5 ya urais 2015

Magufuli anafaa kuwa PM kama tunapata raisi wa ukweli kama Dr.
 
Hayo majina ni sawa lakini jina la John p. Magufuli ungeliondoa kabisa. Yeye amekwisha tenda dhambi moja kubwa hapa Nchini akiwa kiongozi ambayo Haisameheki. Hili la kuuza NYUMBA ZA SERIKALI tena kwa bei ya kutupa na kwa watu ambao wanaweza kujenga zao na kuendeleza uchumi wa nchi hii ni kosa ambalo HALISAMEHEKI kwa watanzania wengi. mm nauliza je Nyerere naye angeamua kuuza wao wangejiuzia nini? Na pia Mhe huyo alivyoulizwa juu ya jambo hili wakati fulani alisema wataendelea kuuza wakati wakijenga nyingine. je mpaka leo wamekwishajenga ngapi?
sasa mtu huyu akiwa rais si atataka kuendeleza hii sera yake ya kuuza mali ya umma. pili ni mbabe mno na anayo ubaguzi wa hali ya juu. aogopwe kama ukoma. ondoa jina lake kwenye list.
 
hapo kwenye red, sharti mojawapo la katiba ya nchi ni kuwa na angalau degree moja.

Hapana. Hakuna sharti lolote la aina hiyo kwenye katiba ya nchi. CCM walitumia kigezo hicho kumwekea kauzibe Mrema, lakini katiba haijaweka kipengele cha aina hiyo.
 
Hayo majina ni sawa lakini jina la John p. Magufuli ungeliondoa kabisa. Yeye amekwisha tenda dhambi moja kubwa hapa Nchini akiwa kiongozi ambayo Haisameheki. Hili la kuuza NYUMBA ZA SERIKALI tena kwa bei ya kutupa na kwa watu ambao wanaweza kujenga zao na kuendeleza uchumi wa nchi hii ni kosa ambalo HALISAMEHEKI kwa watanzania wengi. mm nauliza je Nyerere naye angeamua kuuza wao wangejiuzia nini? Na pia Mhe huyo alivyoulizwa juu ya jambo hili wakati fulani alisema wataendelea kuuza wakati wakijenga nyingine. je mpaka leo wamekwishajenga ngapi?
sasa mtu huyu akiwa rais si atataka kuendeleza hii sera yake ya kuuza mali ya umma. pili ni mbabe mno na anayo ubaguzi wa hali ya juu. aogopwe kama ukoma. ondoa jina lake kwenye list.

in short, yeye na Tibaijuka ni mawaziri wa Dar! Wamefanya nini Shinyanga? Mwanza? Singida? Kila siku Kigamboni, Dar, Ubungo! Ovyo
 
Ila Amweke AGRREY MWANDRY kuwa waziri mkuu, vinginevyo nchi itaharibika
 
Raisi ni mmoja tu Dr. Slaa. Wengine watapangiwa kazi na YEYE( DR. SLAA)
 
futa hao wadini na wakabila wa namba moja na namba mbili
kisha iache listi ya hao watatu tupime nani ni presidential material..

aiseeee babaangu we zee la kimakonde umekula panya ndio maana unaropoka 2 wenzako wapo wanaweka nagari tinted na kuuza mifuko kariakoo
 
Sadakalawe! Amina! Mwenye kupata! Apate! Kipapatio! cha kuku! Kuku gani! Mweusi! kweli miafrika ndivyo ilivyo!

Kwani mnamtaka Rais ajaye aje afanye nini kwa watanzania? Nakushukuru Mchambuzi angalau kwa kuweka Ajenda.
 
aiseeee babaangu we zee la kimakonde umekula panya ndio maana unaropoka 2 wenzako wapo wanaweka nagari tinted na kuuza mifuko kariakoo

dah rombo ss naona unaanza choko choko,,
mbona wewe hapa mjin kazi yako kubwa ni kutusambazia maji haya ya dawasco majumbani kwetu kwa kutumia ile mikokoteni??au kutuuzia mkaa na vigenge uchwara vya mboga mboga
si bora hata mimi ntu wa mieshentown zangu posta na kariakoo..
 
Back
Top Bottom