Top 5 ya urais 2015

ukisema utaratibu wa ukanda unakuwa unamaanisha nini?



waulize wana uwakilishi kanda ya kusini??i mean lindi na mtwara na vitongoji vyake?
Waulize ni kiongozi gani wa ngazi ya juu kichama anaetokea kanda hii?
Nashukuru kwa kulielewa hilo la udini na ukabila kwa maana hujaniuliza
 
mawazo yako ni mazuri kwako, lakini kwa Tanzania ya leo haingii akilini kusema kuwa mgombea yeyote toka chama cha magamba anaweza kushindanishwa na pure mind toka CDM akafurukuta. hao wa magamba hawawezi hata kuwa katika 10 bora.
 
Kama uchaguzi wa raisi 2015 ungefanyika leo, basi ningeenda tu kupiga kura kama hawa wafuatao watakuwepo. Hapa nawapanga katika descending order, kwa maana kwamba kama atakuwepo zaidi ya mmoja ya hao waliopo kwenye list, basi aliye juu ndiye atakayepata kura yangu. Kwa maoni yangu, kati ya wanasiasa ninaowafahamu sasa, hawa ndio wenye uwezo wa kuperform uraisi hapa Tanzania.

  1. Dr W. Slaa
  2. Mh. F. Mbowe
  3. Mh. John Magufuli
  4. Mh. Edward Lowassa
  5. Mh. Tindu Lissu

NB; Masharti na vigezo (vya katiba) vimezingatiwa...

Kama atakuwepo zzk kura yangu itaenda cdm laki kwa hao hapo juu bora nipumzike nyumbani niangalie movie.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Kwa jinsi nyufa zinavyozidi kuongezeka katika kajumba haka kanakoitwa Tanzania, ni ngumu sana mchagga, Mhaya na Mnyakyusa kushinda kinyang'anyiro cha urais nchi hii. Kuna chuki imejengeka kwa makabila haya matatu lakini hasa kwa wachagga ndio usiseme sijui chuki hii imetoka wapi ilhali Mwalimu Nyerere alijaribu sana kuhangaika na kimkakati na ubaguzi huu. Kwa hiyo kwenye hiyo list ondoa Freeman Mbowe!!
Kama kabila lako linawachukia wachagga,siyo lazima iwe ni makabila yote.Usiwasemee wengine,kama una chuki usidhani kila mtu ana chuki.
 
..... kati ya hao nani ambaye mpaka sasa ameandaa mtandao wa kuupata Urais kwa urahisi? ...........
 
Tusidanganyane kama kweli tunataka tupate Rais bora anayefaa ni Prof Lipumba ili ajenge Uchumi utakaotoa ajira na kuleta Neema kwa Watanzania wote.Tumpe kura Prof Lipumba aongoze Tanzania
 
Kama uchaguzi wa raisi 2015 ungefanyika leo, basi ningeenda tu kupiga kura kama hawa wafuatao watakuwepo. Hapa nawapanga katika descending order, kwa maana kwamba kama atakuwepo zaidi ya mmoja ya hao waliopo kwenye list, basi aliye juu ndiye atakayepata kura yangu. Kwa maoni yangu, kati ya wanasiasa ninaowafahamu sasa, hawa ndio wenye uwezo wa kuperform uraisi hapa Tanzania.

  1. Dr W. Slaa
  2. Mh. F. Mbowe
  3. Mh. John Magufuli
  4. Mh. Edward Lowassa
  5. Mh. Tindu Lissu

NB; Masharti na vigezo (vya katiba) vimezingatiwa...

Hakuna Zitto wala Membe
 
Kama uchaguzi wa raisi 2015 ungefanyika leo, basi ningeenda tu kupiga kura kama hawa wafuatao watakuwepo. Hapa nawapanga katika descending order, kwa maana kwamba kama atakuwepo zaidi ya mmoja ya hao waliopo kwenye list, basi aliye juu ndiye atakayepata kura yangu. Kwa maoni yangu, kati ya wanasiasa ninaowafahamu sasa, hawa ndio wenye uwezo wa kuperform uraisi hapa Tanzania.

  1. Dr W. Slaa
  2. Mh. F. Mbowe
  3. Mh. John Magufuli
  4. Mh. Edward Lowassa
  5. Mh. Tindu Lissu

NB; Masharti na vigezo (vya katiba) vimezingatiwa...


Naona maoni meeeengi tena wengine wanaongeza ati Na.6 Nchemba, Na.7 zito, Na.8 and so on!
Hivi mmemuelewa mtoa hoja! au namtoa hoja mwenyewe hajajijua labda alitaka sema Ascending Order? kwani hapa wakwanza ndo wa mwisho!
 
Kama uchaguzi wa raisi 2015 ungefanyika leo, basi ningeenda tu kupiga kura kama hawa wafuatao watakuwepo. Hapa nawapanga katika descending order, kwa maana kwamba kama atakuwepo zaidi ya mmoja ya hao waliopo kwenye list, basi aliye juu ndiye atakayepata kura yangu. Kwa maoni yangu, kati ya wanasiasa ninaowafahamu sasa, hawa ndio wenye uwezo wa kuperform uraisi hapa Tanzania.

  1. Dr W. Slaa
  2. Mh. F. Mbowe
  3. Mh. John Magufuli
  4. Mh. Edward Lowassa
  5. Mh. Tindu Lissu

NB; Masharti na vigezo (vya katiba) vimezingatiwa...

Excellent! Personally am for:

Dr. W.P. Slaa OR Dr. J.P. Magufuli

Prof. I.Lipumba can make very good Prime Minister/Finance Minister. Hon. T.A. Lissu / Dr. A. Mwakyembe may serve as Home Affairs Minister.

Hon. E.N. Lowassa has nothing new, should serve as the retired PM like all retired senior officials.
 
To be honest, Hon. Edward N. Lowassa ni 'golden candidate' kwa Watanzania 2015 kwa sababu ana uwezo usio na kifani wa uchapa kazi. Pia ana uwezo mkubwa wa ku-make bold decisions kwa manufaa ya taifa. Binafsi naamini Lowassa hana mpinzani katika urais 2015.

Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote, wote waliobaki ni either uwajibikaji wao kwenye nyanja za maamuzi hauna kipimo thabiti mpaka sasa or mwingine ameshaonesha kuwa ni mtekelezaji anayehitaji muongozaji.
 
Naomba uelewe kuwa CCM iko makini sana haiwezi kusimamisha watu wenye makundi yanayosigana hadharani kwani ukimchukua mmoja ukamuacha mwingine itakuwa rahisi kwa makundi yaliyoachwa kuasi chama na wataondoka na wanachama wengi au watawahamasisha watu wao wapigia upinzani.

Hivyo basi CCM imejipanga kuhakikisha wagombea wanaojipambanua kuwa wanafaa kuwa marais wakati huohuo wana makundi hawapiti CC kwenda kupigiwa kura NEC.

Hivyo kwa mtazamo wangu wanaofaa kwa CCM ni hawa hapa;
1. Prof. Mark Mwandosya
2. Peter Kayanza Pinda
3. Asha Rose Migiro

Kwa Chadema
1. Dr. Wilbroad Slaa (Phd)

Kwa CUF
1. Prof. Lipumba

Amini usiamini hivi ndivyo itakavyokuwa.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom