Blueprint 9
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 765
- 1,329
Kwani ulitarajia Naibu waziri mkuu kufanya maajabu gani?Wakuu kwema?
Wajuvi noamba mtujuze kwenye jambo hili. Toka Biteko ateuliwe kuwa Naibu Waziri Mkuu amefanya mambo gani mpaka sasa kulingana na nafasi yake hiyo?
Huu mshahara tunaomlipa kutoka mifukoni mwetu kama Naibu Waziri Mkuu anaula kutokana na kazi gani alizofanya mpaka sasa? Anautendea haki kweli?