Hayati umaarufu ulikuwa unamfuata, Mama anaufuata umaarufu!1. Hayati alipenda CCM kuliko Tanzania. Mama anapenda Tanzania kuliko Chama chake
2. Hayati aliogopo yeyote ambaye akubaliani naye. Mama alishazoea siasa za makubaliano kule Zanzibar hivyo haogopi wapinzani
3. Hayati aliwaogopa upinzani kuliko uwezo wao. Mama anajua nguvu ya upinzani inaishia wapi hivyo haogopi mfano wakishida viti 40 Mama anajua bado ni idadi ndogo lakini Hayati yeye alikuwa anaogopa hata mmoja ! Mama anatumia common sense sio hisia.
4. Mama ana upeo mpana zaidi wa mambo kwasababu ya kufanya UN na kuona Dunia kwa upana wake. Hayati alikuwa na ushamba wa kutokujua mengi huu ndiyo ukweli
5. Hayati aliweka misimamo mbele kuliko ukweli mfano kwenye Corona mpaka imechangia kumuondoa alibishia mpaka viongozi wa dini wakati ushahidi uko wazi Waziri Mpango na Katibu wake walipata Corona lakini bado alikuwa anajidanganya na kujiaminisha kiuongo.
6. Hayati alijiamini yeye pekee na Mama anaamini taasisi imara
Hayati umaarufu ulikuwa unamfuata, Mama anaufuata umaarufu!
Kwahiyo nilichoandika sio utofauti? Kama ni hivyo, basi wewe utakuwa BONGE LA GENIUS!!!!Huu sio ushindanishi bali tu ni tofauti hivyo lengo sio kushindanisha Hayati na Mama bali kueleza tofauti zao na maono yao.
Safi Sana, naongeza moja1. Hayati alipenda CCM kuliko Tanzania. Mama anapenda Tanzania kuliko Chama chake
2. Hayati aliogopo yeyote ambaye akubaliani naye. Mama alishazoea siasa za makubaliano kule Zanzibar hivyo haogopi wapinzani
3. Hayati aliwaogopa upinzani kuliko uwezo wao. Mama anajua nguvu ya upinzani inaishia wapi hivyo haogopi mfano wakishida viti 40 Mama anajua bado ni idadi ndogo lakini Hayati yeye alikuwa anaogopa hata mmoja ! Mama anatumia common sense sio hisia.
4. Mama ana upeo mpana zaidi wa mambo kwasababu ya kufanya UN na kuona Dunia kwa upana wake. Hayati alikuwa na ushamba wa kutokujua mengi huu ndiyo ukweli
5. Hayati aliweka misimamo mbele kuliko ukweli mfano kwenye Corona mpaka imechangia kumuondoa alibishia mpaka viongozi wa dini wakati ushahidi uko wazi Waziri Mpango na Katibu wake walipata Corona lakini bado alikuwa anajidanganya na kujiaminisha kiuongo.
6. Hayati alijiamini yeye pekee na Mama anaamini taasisi imara
Kabisaaah yaaanNi kweli, maana inaonyesha "tibaina amagezi" mtu aliye timamu huwezi kutwa kucha kumsema mtu ambaye hawezi kusia, kuona, kunusa wala kujibu huo ushuzi. Ni sawa na kupiga mgumi kwenye jiwe, what next for....
ile inaitwa SIHASA........mama yuko vice versa kabisa...kama husikii basi hata huoni?.......ila ninachoshangaa watu wote ninao kutana nao wanashukuru kuondoka kwa mwendazake sasa sijui hao wanyonge wako wapiLakini Mama anasema Yeye na JPM ni kitu kimoja, hawatenganishwi.
Mungu wa Jiwe hakuwa Mungu halisi....ndiyo maana yule halisi akaonyesha makali yake baada ya kuona anadhihakiwa...tatizo lipo kwa wachungaji , maaskofu , manabii wetu walikuwa ni wanafiki sanaKufanya maamuzi:
Jiwe Mkurupukaji -- Maza anatumia hekima
Jiwe alikiwa na hofu feki ya Mungu -- Maza ana hofu ya Mungu kweli
No sense na mada isiyikua na tija Nyambafuuuuuuuuuuuu1. Hayati alipenda CCM kuliko Tanzania. Mama anapenda Tanzania kuliko Chama chake
2. Hayati aliogopo yeyote ambaye akubaliani naye. Mama alishazoea siasa za makubaliano kule Zanzibar hivyo haogopi wapinzani
3. Hayati aliwaogopa upinzani kuliko uwezo wao. Mama anajua nguvu ya upinzani inaishia wapi hivyo haogopi mfano wakishida viti 40 Mama anajua bado ni idadi ndogo lakini Hayati yeye alikuwa anaogopa hata mmoja ! Mama anatumia common sense sio hisia.
4. Mama ana upeo mpana zaidi wa mambo kwasababu ya kufanya UN na kuona Dunia kwa upana wake. Hayati alikuwa na ushamba wa kutokujua mengi huu ndiyo ukweli
5. Hayati aliweka misimamo mbele kuliko ukweli mfano kwenye Corona mpaka imechangia kumuondoa alibishia mpaka viongozi wa dini wakati ushahidi uko wazi Waziri Mpango na Katibu wake walipata Corona lakini bado alikuwa anajidanganya na kujiaminisha kiuongo.
6. Hayati alijiamini yeye pekee na Mama anaamini taasisi imara
MAJINGA KAMA HAYA BADO YAPO.....HII NCHI ILIKUWA KIFUNGONI KWA MIAKA YOTE YA MWENDAZAKE.....SASA NCHI INAKWENDA KUFUNGULIWA...MATAGA /SUKUMA GANG ZAMU YENU SASA KUISOMA NAMBAMmebaki kulinganisha mama na JPM uongozi wake utafifia siyo muda mrefu huyu alie toa haya mawazo ni Nape kazi alizo fanya JPM niza kimkakati hapa tulipo h hiyo dodoma tungekua bado tuna iota ukisema jpm alikua mshamba humtendei haki kenya mpaka leo wako lockdown sie tunasepa nani mshamba kenya wana madeni ya IMF aka corona sie hatuna.. Wivu wakijinga huu kama hukumpenda jpm usitulazimishe tumchukie.. Jpm ataingia kwenye historia hata mama anavyo ongoza akili za watu bado ziko kwa jpm walio mzunguka mama ni wezi tu subiri haitapita muda tutaanza sikia kashfa kama za escrow epa. Mgufuli will remain to be jembe
Huu ndio ukweli mchungu ambao waliokuwa wakimuabudu Hayati hawapendi kuusikia...1. Hayati alipenda CCM kuliko Tanzania. Mama anapenda Tanzania kuliko Chama chake
2. Hayati aliogopa yeyote ambaye akubaliani naye. Mama alishazoea siasa za makubaliano kule Zanzibar hivyo haogopi wapinzani
3. Hayati aliwaogopa upinzani kuliko uwezo wao. Mama anajua nguvu ya upinzani inaishia wapi hivyo haogopi mfano wakishida viti 40 Mama anajua bado ni idadi ndogo lakini Hayati yeye alikuwa anaogopa hata mmoja ! Mama anatumia common sense sio hisia.
4. Mama ana upeo mpana zaidi wa mambo kwasababu ya kufanya UN na kuona Dunia kwa upana wake. Hayati alikuwa na ushamba wa kutokujua mengi huu ndiyo ukweli
5. Hayati aliweka misimamo mbele kuliko ukweli mfano kwenye Corona mpaka imechangia kumuondoa alibishia mpaka viongozi wa dini wakati ushahidi uko wazi Waziri Mpango na Katibu wake walipata Corona lakini bado alikuwa anajidanganya na kujiaminisha kiuongo.
6. Hayati alijiamini yeye pekee na Mama anaamini taasisi imara
Waliokota hata mapesa kwenye akaunti za watu!!!Mwendazake alikuwa ni mtu wa ajabu kuliko ata amaajabu yenyewe eti kwenye awamu yake vichwa kadhaa vya train vikaokotwa bandarini daaaah ila Magu was so fantastic asee unaokota kichwa cha train!!!!!
Ni wale wale akili zilizo lala kama hazina mshiko kwanini ilikua kwenyemipango ya kuhamia tangu miaka ya nyuma...kama haikusaidii funga mdomo wako EPA au Escrow ilikusaidia nini...Kuhamia Dodoma imetusaidia nini kama nchi?
Sababu zile za mwaka 47 hazina mashiko tena
Pia na vile vigari vidogo fogo zaidi ya 50 navyo viliokotwa bandarini.Mwendazake alikuwa ni mtu wa ajabu kuliko ata amaajabu yenyewe eti kwenye awamu yake vichwa kadhaa vya train vikaokotwa bandarini daaaah ila Magu was so fantastic asee unaokota kichwa cha train!!!!!
Tutamkumbuka kwa mabaya/maovu, acha ujuha wa kivuli cha vyeti feki. Henchmen wake wengi ndiyo walikuwa wamiliki wa vyeti feki na aliwalinda kwa nguvu zote, kama bichwa lako halina kumbukumbu nikukumbushe mfano hai ni Bashite.#1 umeongea mauongo makubwa sana shenzi kabisa.
Na kuna Comment za watu humu za dharau, JPM muiteni kwa heshima HAYATI DR. J P M na siyo mwendazake kama dharau fulani hivi
Wengi wanaoingiza kumdharau HAYATI JPM ni wale wa vyeti feki,wapiga dili na wengineo waliozoea ushenzi wa dhuruma kwa wananchi wa chini hasa hawa wafanya biashara wakwepa kodi
HAYATI JPM mtakuja kumkumbuka sana na MUNGU atutunze tutawakumbusha siku moja
Tusifikie huku Watanzania, hata kama hakuwa chaguo lako basi heshimu uzee wake kama cheo chake hukupenda. Tusiwe na desturi ya kukejeli viongozi wetu.Mwendazake alikua hovyo sana...aende zake tu