Tobaaaa

Tobaaaa

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
14157_369993173091966_2130780199_n.jpg
 
Huyu ukikutana naye njiani lazma ujinyee + ujikojolee kwanza ndio mambo mengne yatafata . . . Mwngne atarahsisha kazi atazmia. . .
 
Mbuzi mzee wewe haya majitu huwa unayatoa wapi Mkuu??!!!,dah!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Asia, hasa mashariki ya mbali ni kitoweo safi sana hicho
 
Nimeota ucku nyoka mdogo anammeza nyoka mkubwa!wataalam wa ndoto nisaidien maana yake!
 
Nimeota ucku nyoka mdogo anammeza nyoka mkubwa!wataalam wa ndoto nisaidien maana yake!

Kwa msaada wa mzee yahya (RIP) wewe una dalili za kudhulumiwa mali zako

Sent from my GT-S5570 using Tapatalk 2
 
Back
Top Bottom