Mkuu Daffi, kuna ndoto za aina mbili, direct na opposite. Direct ni zile ndoto za kweli, zinaitwa "dream come true", ukiota fulani kafa, asubuhi unaambiwa kafa!, ukiota ajali, inatokea, ukiota umeibiwa, unaibiwa, ukiota una pee, asubuhi umelowesha kitanda, ukiota una do, asubihi umechafua pyjamas kama unalala na birthday suti yako asubuhi unachafua mashuka!.Nimeota ucku nyoka mdogo anammeza nyoka mkubwa!wataalam wa ndoto nisaidien maana yake!
kwisha habari yangu!:confused2:
Mkuu Daffi, kuna ndoto za aina mbili, direct na opposite. Direct ni zile ndoto za kweli, zinaitwa "dream come true", ukiota fulani kafa, asubuhi unaambiwa kafa!, ukiota ajali, inatokea, ukiota umeibiwa, unaibiwa, ukiota una pee, asubuhi umelowesha kitanda, ukiota una do, asubihi umechafua pyjamas kama unalala na birthday suti yako asubuhi unachafua mashuka!.
Kuna ndoto ni opposite, ukita harusi, unasikio msiba, ukiota umeokota hela, unapoteza, ukiota unapaa, unaanguka, ukiota unaanguka unapaa. Ukimuota mtu una mdoo, humpati tena, etc etc. Hizi ni ndoto za warnings mbalimbali.
Nyoka ni symbol of evil, kadri anavyokuwa mkubwa, ndivyo ulivyo ukumbwa wa evil, hiyo nyoka ni angalizo kwako kuwa wewe ndio huyo nyoka mdogo, inamaanisha wewe pia una evil ndogo ndogo, ila hapo unapoishi, kuna mtu mnaishi nae, atakufanyia mabaya makubwa, ili akuangamize, ila mwisho wa siku, wewe ndio utamshinda na yeye ndie ataangamia!.
NB. Wana jf wenzangu, msodhani najifanya ni shehe yahya, hizi ni dreams interpretation zimejaa za kumwaga kwenye net!.
P.
Nimeota ucku nyoka mdogo anammeza nyoka mkubwa!wataalam wa ndoto nisaidien maana yake!
Mkubwa aliyemezwa ni mweusi,mdogo ni rangi ya kijivu!ni km alikuwa sehemu yenye maji na matope mengi,maana ni km tulimkuta anammeza yule nyoka mwingine,baada ya kummeza akijizamisha kwenye maji,ila kichwa chake kilikuwa nje ya maji!nyoka ktk ndoto ni adui....hao nyoka walikuwa ni wa rangi gani ili nikusaidie vizuri.
maiweeeeeeeeer usiku lazima ntaota!!
.......Anajivua gamba kama ccm
maiweeeeeeeeer usiku lazima ntaota!!
Nimeota ucku nyoka mdogo anammeza nyoka mkubwa!wataalam wa ndoto nisaidien maana yake!