EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
- Thread starter
- #221
Subira yavuta heriWatakupinga na kukubeza but i think I UNDERSTAND this feeling you express here...
Sisemi nakuunga mkono ila NIMEKUELEWA SITUATION YAKO and i dont judge you at all.
Wengi ni wanafik wakikuponda hapa au pengine Mungu KAWAPENDELEA SANAA but guys kuna watu wana mateso sana na kuna wakat tunateseka sana..Anyway Mungu sijui huwa anakua wapi.
Namuamini Mungu ila kuna wakat NAPATA MASHAKA MAKUBWA SANA
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
Ayu 1:22 SUV
Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi, wala hakumwazia Mungu kwa upumbavu.SUV: Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
ShirikishaSoma Sura Nzima
linganisha matoleo yote: Ayu 1:22
Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ayu 1:22
Huzuni
BibleProject | Kumwamini Mungu katika Mateso
Inakutia moyo na kukupa changamoto ya kutafuta ukaribu na Mungu kila siku.
HUDUMAKuhusu
Kazi
Kujitolea
Blogu
Bonyeza
VIUNGO MUHIMU
Msaada
Changia zawadi
Matoleo ya Biblia
Lugha za biblia
Mshahiri wa Bibilia ya siku
Tunza hilo AGANOSiku kama ya leo mwakani nitakuwepo tena ofisini kwangu kama ilivyo leo; ni ushuhuda ulio mbele kwa sababu nina agano na Mungu