Toa ushuhuda wowote ambao unadhani bila Mungu usingetoboa

Toa ushuhuda wowote ambao unadhani bila Mungu usingetoboa

Amani ya Bwana iwe juu yenu.

Leo twende na confessions ya yale unahisi bila Mungu au Allah usingekuwa hapo ulipo.

Leo sianzi mimi

Twenden kazi watoto wa Mungu/Allah uwanja ni wenu hebu shuhudia matendo makuu ya Mungu/Mola

Zaburi 71:16 BHN

Nitataja matendo yako makuu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu; nitatangaza kuwa ndiwe mwadilifu peke yako.

Zaburi 23:1-6 SRUV​

BWANA ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu. Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza. Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake. Naam, nijapopita kati ya bonde la kivuli cha mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji. Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika. Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.
Pale ambapo nilikosa visa ya kwanza nakujaribu nchi nyingine huku nikiwa nimekata tamaa kabisa. Lakin mungu aliniinua tena nikapata nakunifuta machozi bila yeye mim nisinge Toboa
 
Amani ya Bwana iwe juu yenu.

Leo twende na confessions ya yale unahisi bila Mungu au Allah usingekuwa hapo ulipo.

Leo sianzi mimi

Twenden kazi watoto wa Mungu/Allah uwanja ni wenu hebu shuhudia matendo makuu ya Mungu/Mola

Zaburi 71:16 BHN

Nitataja matendo yako makuu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu; nitatangaza kuwa ndiwe mwadilifu peke yako.

Zaburi 23:1-6 SRUV​

BWANA ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu. Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza. Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake. Naam, nijapopita kati ya bonde la kivuli cha mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji. Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika. Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.
Nilitofautiana na Boss wangu akinipeleka ofisi ndogo ya Mkoani ambayo ilikuwa kavu sana kiuchumi, nikapmbana kurudi mjn, ile narudi nikakuta boss yule kaniharibia na
sitakiwi ofisi za mjini lakini kwa ukuu wa Mungu nikikutana na Boss ambaye nilimueleza kisa kizima, kwa kuwa alikuwa mcha Mungu alinisaidia nikabaki mjn
 
Pale ambapo nilikosa visa ya kwanza nakujaribu nchi nyingine huku nikiwa nimekata tamaa kabisa. Lakin mungu aliniinua tena nikapata nakunifuta machozi bila yeye mim nisinge Toboa
mungu✖ Mungu ✔
 
Mungu yupi sasa tumtolee ushuuda?????? Maana kila dini hapa duniani ina mungu wake...Kuna mungu wa kiarabu anaitwa Allah,Kuna mungu wa kiyahudi anaitwa Adonai,kuna mungu wa makabila ya kibantu kama Pandoke na kuna mungu mungu wa makabila ya watu wa americas ña asia ya kati na mashariki mbalí na ocenia.Lakini naona wewe umewataja mungu wa kiarabu na kiyahudi tu......Na kuna Gaotu wafuasi wa dini ya satanic wanamuita mungu
 
Nimezana chumbani, ile nimeingiza tu mlango unasukumwa.
Uzuri mlango ni mgumu hivyo nikanyata nyuma ya mlango
Aliyeingia akaingia bahati akapata alichokuwa anatafuta
Angekikosa angekuja nyuma ya mlango anikute na boxer tu
 
Watakupinga na kukubeza but i think I UNDERSTAND this feeling you express here...
Sisemi nakuunga mkono ila NIMEKUELEWA SITUATION YAKO and i dont judge you at all.

Wengi ni wanafik wakikuponda hapa au pengine Mungu KAWAPENDELEA SANAA but guys kuna watu wana mateso sana na kuna wakat tunateseka sana..Anyway Mungu sijui huwa anakua wapi.

Namuamini Mungu ila kuna wakat NAPATA MASHAKA MAKUBWA SANA
Nafikiri..anatenda kwa watu wake..na hao ndio wanashuhudia hapa na bahati mbaya wao wanataka sisi tumshuhudie na kumuamini kupitia kile walichotendewa wao..

Sisi tukieleza kile tunapitia na imani tumejenga kupitia kile tunapitia wanatuona sisi tunakufuru..kumbe sisi tunaeleza uhalisia wetu

ni vema kila mtu aamini kile anachokiona..sio mtu anamuambia Mtu Mungu ni mwema..HAPANA,mtu ashuhudie mwenyewe..

Kwenye maisha haya watu wanahangaika sana..imani zao zimekufa

Si kila mtu ni mtu wa Mungu,
 
Kwa kweli ukimtegemea Mungu 100% nakuhakikishia utatoboa,Mimi nilikuwa na biashara ilikuwa inachechemea sana kwa muda ,Ila nilipoamua kuikabidhi kwa Mungu nimeona mabadiliko makubwa sana.
Kikubwa uwe mwaminifu, utoe sadaka pamoja na kikumi ,usali na uwe unasoma neno la Mungu na kuomba ( kufunga), nakuhakikishia utatoboa.Sasa hivi mauzo yameongezeka zaidi ya marambili ya Yale ya zamani.
Glory to God.
 
Mungu yupi sasa tumtolee ushuuda?????? Maana kila dini hapa duniani ina mungu wake...Kuna mungu wa kiarabu anaitwa Allah,Kuna mungu wa kiyahudi anaitwa Adonai,kuna mungu wa makabila ya kibantu kama Pandoke na kuna mungu mungu wa makabila ya watu wa americas ña asia ya kati na mashariki mbalí na ocenia.Lakini naona wewe umewataja mungu wa kiarabu na kiyahudi tu......Na kuna Gaotu wafuasi wa dini ya satanic wanamuita mungu

YAFAHAMU MAJINA YA MUNGU NA MAANA ZAKE​


#Adonai ni neno la kiebrania,, kwenye Biblia tunayoyotumia huwez pata ila kwenye biblia ya Kiebrania


Ni maneno
(majina ya kumuinua au kumsifu Mungu)
yako Machache kwenye Biblia
Mfano wa majina hayo 👇

Tambua Majina ya Mungu na Maana zake
Majina haya yapo katika Lugha za kiebrania Mara nyingi tumekuwa tukiyataja pasipo kujua maana zake,fuatilia ili ujifunze

Tambua Majina ya Mungu na Maana zake

1. ADONAI-Mungu Mwenye Enzi Yote Mwanzo 15:2-8

2. EL – SHADAI-Mungu ututoshelezae/Mungu mtoshelezi
Mwanzo 17:1

3.EL-OHEENU- Bwana Mungu Wetu Zaburi 99:5,8,9

4. EL- GIBBOR- Mungu Mwenye Nguvu, Isaya 9:6-9

5. EL-OHEEKA- Bwana Mungu Wako Kut 20:2,5,7
6. EL-ELYON -Mungu Aliye Juu Sana Mwanzo 14:18

7. EL-OHIM- Muumbaji wa Milele Mwa 1:1

8. YEHOVA- SABAOTH Bwana wa Majeshi 1Samwel 1:3

9. JEHOVA TSIDKEMU -Bwana ni Haki Yetu Yeremia 23:6

10. JEHOVA RAPHA- Mungu Atuponyae,kutoka 15:26

11. JEHOVA MEKADDISHKEM- Mungu atutakasaye Kutoka 31:13

12. JEHOVA ROHI-Bwana Mchungaji Wangu Zaburi 23:1

13. JEHOVA JIREH- Mungu Atupaye /Atoaye Mwanzo 22:14

14. JEHOVA HOSEENU -Bwana Aliyetuumba Zaburi 95:6

15. JEHOVA NISSI- Bwana ni Beramu (Bendera)
yangu
Kutoka17:15

16. JEHOVA SHALOM -Bwana ni Amani, waamuzi 6:24

17. JEHOVA SHAMMAH -Bwana Yupo Hapa, Ezekiel 48:35

18.El-hai-Mungu aliyehai,Joshua 3:10,1 Samwel 17:26

19.El-elohe-israel-Mungu wa Israel, Mwanzoh 33:20

20.El-Olam-Mungu wa milele,Ufunuo 4:8,kutoka 3:14
 
Mungu hakuna alilowahi kunisaidia, kikubwa anakula pesa zangu kila siku,

Mimi ndo namsaidia maana nampa pesa.

Nilikuwa na shida akanitupa halafu saivi eti nimtolee, kweli?

Kila nilichonacho nimekipata kwa jasho langu.

Kwanza hayupo na kama yupo hana nguvu yoyote, kiufupi mimi namzidi uwezo.
Tubu. Mungu yupo na hadhihakiwi.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 

YAFAHAMU MAJINA YA MUNGU NA MAANA ZAKE​


#Adonai ni neno la kiebrania,, kwenye Biblia tunayoyotumia huwez pata ila kwenye biblia ya Kiebrania


Ni maneno
(majina ya kumuinua au kumsifu Mungu)
yako Machache kwenye Biblia
Mfano wa majina hayo 👇

Tambua Majina ya Mungu na Maana zake
Majina haya yapo katika Lugha za kiebrania Mara nyingi tumekuwa tukiyataja pasipo kujua maana zake,fuatilia ili ujifunze

Tambua Majina ya Mungu na Maana zake

1. ADONAI-Mungu Mwenye Enzi Yote Mwanzo 15:2-8

2. EL – SHADAI-Mungu ututoshelezae/Mungu mtoshelezi
Mwanzo 17:1

3.EL-OHEENU- Bwana Mungu Wetu Zaburi 99:5,8,9

4. EL- GIBBOR- Mungu Mwenye Nguvu, Isaya 9:6-9

5. EL-OHEEKA- Bwana Mungu Wako Kut 20:2,5,7
6. EL-ELYON -Mungu Aliye Juu Sana Mwanzo 14:18

7. EL-OHIM- Muumbaji wa Milele Mwa 1:1

8. YEHOVA- SABAOTH Bwana wa Majeshi 1Samwel 1:3

9. JEHOVA TSIDKEMU -Bwana ni Haki Yetu Yeremia 23:6

10. JEHOVA RAPHA- Mungu Atuponyae,kutoka 15:26

11. JEHOVA MEKADDISHKEM- Mungu atutakasaye Kutoka 31:13

12. JEHOVA ROHI-Bwana Mchungaji Wangu Zaburi 23:1

13. JEHOVA JIREH- Mungu Atupaye /Atoaye Mwanzo 22:14

14. JEHOVA HOSEENU -Bwana Aliyetuumba Zaburi 95:6

15. JEHOVA NISSI- Bwana ni Beramu (Bendera)
yangu
Kutoka17:15

16. JEHOVA SHALOM -Bwana ni Amani, waamuzi 6:24

17. JEHOVA SHAMMAH -Bwana Yupo Hapa, Ezekiel 48:35

18.El-hai-Mungu aliyehai,Joshua 3:10,1 Samwel 17:26

19.El-elohe-israel-Mungu wa Israel, Mwanzoh 33:20

20.El-Olam-Mungu wa milele,Ufunuo 4:8,kutoka 3:14
Huyu mungu waislamu hawamuamini mkuu.
 
Kwa kweli ukimtegemea Mungu 100% nakuhakikishia utatoboa,Mimi nilikuwa na biashara ilikuwa inachechemea sana kwa muda ,Ila nilipoamua kuikabidhi kwa Mungu nimeona mabadiliko makubwa sana.
Kikubwa uwe mwaminifu, utoe sadaka pamoja na kikumi ,usali na uwe unasoma neno la Mungu na kuomba ( kufunga), nakuhakikishia utatoboa.Sasa hivi mauzo yameongezeka zaidi ya marambili ya Yale ya zamani.
Glory to God.
Amen ubarikiwe

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mungu waislamu hawamuamini mkuu.
Mungu✔, mungu✖

Acha wasimuamini ila yupo na atawahukumu kwa kutokuamini kwao.


1 Yohana 5:13​

Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele.
 
Mungu✔, mungu✖

Acha wasimuamini ila yupo na atawahukumu kwa kutokuamini kwao.


1 Yohana 5:13​

Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele.
Wao wana mungu wao anaitwa Allah hazai wala hana mtoto....
 
Mimi nilipata shida kazini...
Nikasimamishwa kazi...

Kumbe boss wangu kanitengenezea kesi ya wizi... Ameshaenda kuripoti polisi... Kamwaga hela huko mi sina taarifa...
Akamtafuta afisa flani wa polisi kwamba nikiripoti kituoni yeye awe ndiye mwenye faili.. Kiufupi huyo awe mpelelezi wa kesi...

Niko nyumbani napigiwa simu njoo ofisini... Kufika polisi hawa hapa.. Nikaenda central... Kufika yule polisi aliyekuwa amepangwa akanidaka..
Nikachukuliwa maelezo kinguvu nguvu... Nafikiri mnajua polisi kukoje...

Sasa imefika jioni kuna mama mmoja mtu mzima akawa anakagua mahabusu... Akanikuta nimepiga magoti nasali..
Nafikiri mama huyo alishangaa kidogo.. Nikasikia officer flan flan mlete huyu ofisini kwangu.. Naomba file lake nilipitie....

Hapo ndipo nilipo pona... Nilimweleza kila kitu na kumwambia makosa ninayotuhumiwa sijawahi kufanya...

Akabadili mpelelezi.. Akafanya upelelezi nikiwa nimepewa dhamana nikakutwa sina hatia...

Baadae bosi alishushwa cheo...

Ila niliponea kubambikwa kesi... Mungu mkubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom