TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

Lighton

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
1,902
Reaction score
3,096
Huyu jamaa aliwahi kunifundisha Tuition pale kwa Demtatuzi( naye ni marehem) boma Kama unaenda msimbazi.

jamaa alikuwa anafundisha physics na chemistry tu, alikuwa akisema hawezi kufundisha somo rahisi Kama pure mathematics😄

Alikuwa TO mwaka 2006, akaenda chuo pale UDSM akadisco(inasemekana walimfelisha kwasababu ya ujuaji wake) baada ya hapo akarudi mtaani kuzurura kutafuta shule na Tuition za kufundisha.

Alirudi chuo Tena UDSM kusoma petroleum engineering mwaka 2013 na kuhitimu 2017.

Huyu jamaa alikuwa anapenda kuwaita wenzake nyumbu😄

Moja ya misemo yake alikuwa akisema. "Huwezi kupata Division 1 Kama unasoma Dar"😄

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

1772165904921.jpg
 
Itakua tu wanafunzi wake mmemkumbuka ila Tanzania imetoa vipaji vingi sana kwa sababu kufauru sio big ishu kwao maana zilikuwepo shule za vipaji maalumu kipindi cha nyuma na walikua wanafanya vizuri sana...
Ni kweli ambao wanamkumbuka ni wale ambao walimtambua kipindi chake, jamaa alivutia sana kipindi kile.
 
Huyu jamaa aliwahi kunifundisha Tuition pale kwa Demtatuzi( naye ni marehem) boma Kama unaenda msimbazi.

jamaa alikuwa anafundisha physics na chemistry tu, alikuwa akisema hawezi kufundisha somo rahisi Kama pure mathematics😄

Alikuwa TO mwaka 2006, akaenda chuo pale UDSM akadisco(inasemekana walimfelisha kwasababu ya ujuaji wake) baada ya hapo akarudi mtaani kuzurura kutafuta shule na Tuition za kufundisha.

Alirudi chuo Tena UDSM kusoma petroleum engineering mwaka 2013 na kuhitimu 2017.

Huyu jamaa alikuwa anapenda kuwaita wenzake nyumbu😄

Moja ya misemo yake alikuwa akisema. "Huwezi kupata Division 1 Kama unasoma Dar"😄

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

View attachment 3549386
Itakuwa alikuwa na ufala mwingi, watu tulipatia one Dar tena kipindi akiwa primary school au hata shule labda alikuwa hajaanza plus hayo masomo anayojinasibu nayo ndiyo yalikuwa masomo yetu.
 
Asingekuwa amekwama kitaalauma na kuwa mwalimu wa tuition, majority wasinge mtambua. Ni ile tu ameeacha alama kwa vijana wa leo kwa kuwapiga Pindi tuition.

Kuna vipanga viko kimya tu, hawakuwa na kelele mtaani, wako sehemu wanafanya makubwa.

Japo most of TO huku mtaani wako frustrated. Umekomaa na phyisics ukaondoka na A kali. Ukaenda Telecom, ukaondoka na GPA kali, ukaenda kazini, unakuta aliekuajiri (HR) ni mtu wa HKL, Boss ni mtu wa biashara. Mbaya zaidi wanakwambia mtaalam, njoo uwasaidie kuchomeka printer, haiwaki
 
Asingekuwa amekwama kitaalauma na kuwa mwalimu wa tuition, majority wasinge mtambua. Ni ile tu ameeacha alama kwa vijana wa leo lwa kuwapiga Pindi tuition.

Kuna vipanga viko kimya tu, hawakuwa na kelele mtaani, wako sehemu wanafanya makubwa.

Japo most of TO huku mtaani wako frustrated. Umekomaa na phyisics ukaondoka na A kali. Ukaenda Telecom, ukaondoka na GPA kali, ukaenda kazini, unakuta aliekuajiri (HR) ni mtu wa HKL, Boss ni mtu wa biashara. Mbaya zaidi wanakwambia mtaalam, njoo uwasaidie kuvhomeka printer, haiwaki
Kmmk 😄😄😁
 
Back
Top Bottom