hii imenifurahisha sana, sasa kwenye ndo utasemaje kama wife aamekunyima hela ya bia, itabidi uwe mpole, ndoa zetu siku hizi ni kuvumiliana kwa sana, make wake au waume wako busy kutafuta maisha, so ikifika ucku kila mtu taabani, haya maisha jamani, sometime mimi yananikera sana pale inapofikia niko mbali namke wangu--lakini anyway, hakuana shida. Bibie usijali sana kila kitu kitakuwa sawa, one day i will come home and never leave you again.
hapo mie ni mpaka aniambie kama amepungukiwa/ishiwa...otherwic hiyo hela nitaenda hapo nakumat kumfanyia shopping.
nyamayao unaweza pia ukamkatia chenji afurahie matunda ya mkewe kuwa na extra money! hata kumfanyia shopping ni bomba sana nafikiri, lazima atakuwa anafurahia
(nadhani mimi naona bora nimpe pesa kwa kuwa naona usumbufu kumfanyia shopping ................(men department is sooo boring) lol
HOW TO REVIVE INTIMACY
naona 'mawazo mabaya' yameshakuingia mtafute baba Askofu akakupe upako ASAP:doh:
Hehehehehe! Askofu yuko bize kwenye maungamo. Yanini malumbano?
Ngoja nimtafute baba askofu aje achape injili hapo....:doh:
Nadhani TEAMO anahitaji maungamo yake aisee
Nyamayao kumbe mna shinda Mr wenu wanaokunywa pombe mpaka vitu vyengine muwakisie! lol
ndio hivyo G....ni wkend tupo home kila kitu kipo ndani, atataka hela ya nini kama sio ya kukata kiu ya beer?...lol
kweli mkuu!Teamo,
Kama kawaida yako mkuu - Nadhani siku hizi pale Zero na Viola wanaku-miss sana!
Kujibu swali lako hapo juu:
There is nothing (yes I repeat nothing) can be done to revive the marriage's intimancy!
You have got to learn to get along with it - and That is it
The more you stay in marriage's ties the more you tend to learn to agree to disagree - and as the result none of the problem(s) that you face between two of you which is permanently resolved! You simply learn to live with it, and of course that is what we were told from day one "..Katika SHIDA na RAHA.."
Kuna na hili la kupewa pesa ya kutumia isiyokuwa na ratiba maalum.....
Ikiwa unasuprise wife kwa kumpa pocket money nafikiri inasaidia mpenzi wako kuona unamjali. Hata Kama Ana mshahara mkubwa kiasi gani mpe pesa ya kununulia vitu vyako binafsi Mara moja moja uone atakavyo furahi
Mh... we mchagga nini?
kwani mama Brian, vipi state ya huko kwako ikoje.......inahitaji revival?
Hahahaha! Hommie hapo naona unataka kujipa nafasi ya "MWOKOZI WA NDOA":doh::doh:
Asprin, teamo, kaizer, DC .......... Inaonyesha hamtegemei kupewa pocket money na wife lkn jee mkipewa once in a while mtalichukuliaje suala Hilo?
( Mimi nikipata extramoney nyingi sana huwa namkatia chenji hubby ......imekaaje hii?!)
Habari zenu wakuu,wapwaaaz,mabinamuuz,infidelators na infidelees wooote!
leo nipo ki-ndoa zaidi...!na nitaomba kingereza kichukue barabara yake.
baada ya tafakari ya muda mrefu kidogo juu ya maoni mengi ya wadauz mbali mbali,niligundua kuwa kuna wakati ndoa 'zinazoeleka' kiasi cha wanandoa (aidha mmoja au wote) kushindwa kabisa au pengine KUKOSA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA!....kwamba inafikia mahali maisha ya mapenzi ya wanandoa yanageuka kuwa 'bland and unevenful'
ukweli kabisa mi nashindwa kuelewa nini chanzo cha hili ninaloliita 'kuzoeleka',ingawa kuna vijisababu kama:
1-a busy schedule
2-too many disagreements
10-(mbu jaza hapa)
HOW TO REVIVE INTIMACY
1-YOU CAN DO THIS BY PLANNING INTIMATE MOMENTS
2-YOU CAN DO THIS BY REMEMBERING THE DAYS WHEN YOU BOTH COULDN'T TAKE YOUR HANDS OFF EACH OTHER AND BRING BACK THE ROMANTIC MOMENTS IN YOUR NIGHTS TOGETHER
Hongera Mama Brian!!Kaizer siye bado tunaishi kama paradiso ndogo, tunapendana sana na my husband tena sana.No need of revive nasemea kwa wengine ambao ndoa zimekuwa ndoano wabadilike wakumbuke enzi hizoo.
Ni heri ujue kuliko uhisi. Ni mateso makali sana kuhisihisi!
Asprin, teamo, kaizer, DC .......... Inaonyesha hamtegemei kupewa pocket money na wife lkn jee mkipewa once in a while mtalichukuliaje suala Hilo?
( Mimi nikipata extramoney nyingi sana huwa namkatia chenji hubby ......imekaaje hii?!)
Kaizer siye bado tunaishi kama paradiso ndogo, tunapendana sana na my husband tena sana.No need of revive nasemea kwa wengine ambao ndoa zimekuwa ndoano wabadilike wakumbuke enzi hizoo.
...Quote of the day!..lakini ukiwa ni dereva wa mawazo yako, jitahidi ukivuke kizingiti hicho. Sio maisha hayo kuishi na wasiwasi wa kuibiwa.
...mbaya sana hii. Nitakuwa offended na disappointed sana tu. Mnh, can't even imagine...
mbu hebu nigaie maelezo ya kwanini uwe offended mkeo akikupa pesa (once in a while)