To my dear single mothers

To my dear single mothers

Unaweza kukuta mwanaume hana maneno matatizo yana kuwa kwa baby father ambae anajuinea wivu sasa umeolewa
Hata kama ana wivu kiasi gani hiyo kitu siwezi kukubali, kama tumeshaachana si abaki na ustaarabu wake,aliniona wa kazi gani akanitelekeza na kitoto changu halafu leo alete zake hapana aiseeee
 
Ni pale unapokutana na mwanaume unamweleza kuwa una mtoto, mwanaume anasema amekupenda lakini hayuko tayari kuishi na mtoto asiye wake. Kwakuwa unahitaji ndoa unampeleka mtoto kwa wazazi wako aishi huko.

Umeolewa na umefanikiwa kupata watoto, wale watoto wako wanamcheka kaka yao kwasababu wazazi wako wanaishi kijijini na mtoto amekulia kijijini, wenzake wanamuona wa bush, wewe unajisikiaje ukiwa kama ndiye binadamu uliyemleta huyu kiumbe duniani?
Huo ni uelewa Mdogo wa mwanaume hilo la mtoto sio tatizo ukipenda boga penda na ua lake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama ana wivu kiasi gani hiyo kitu siwezi kukubali, kama tumeshaachana si abaki na ustaarabu wake,aliniona wa kazi gani akanitelekeza na kitoto changu halafu leo alete zake hapana aiseeee
Njia rahisi ninadhani ukiwa kwenye ndoa ni kumshirikisha yote mume wako na kumpiga stop ✋ baba junior akijifanya yeye kidume
 
Mwanaume asiyemkubali mwanangu na uhusiano unakufa
 
Loving them is a call, you need to be strong if you let yourself fall in love with such.
Having a child out of wedlock doesn't make a person less a human
 
Mimi nadhani ni vema mume akubali kuishi na mtoto kwa ridhaa yake bila kumlazimisha.

Miaka hii kumuamini mtu kuishi na mtoto wako ni hatari kama kumuamini simba, watu tumekuwa wakatili na wachafu sana. Hata mume kuishi na mtoto wako unatakiwa kuwa makini sana, usishangae mtoto kafanywa mke wa pili.
 
Thank you, unakuta una mume hataki kumuona mwanao, mume akiwa safarini ndiyo unaangiza mwanao aletwe, ukisikia anaingiza gari gatini unamwambia mtoto aondoke kwa kupitia mlango wa jikoni ni maisha gani haya hata kama ni pesa.

Ikiwa wewe ni Single mother lakini kuna mwanaume anataka kukuoa ni vema kumueleza ukweli kuwa una mtoto na umwambie ukweli ni mazingira yapi ulimpata kama atasema hataki kumlea mpeleke kwa baba yake (ikiwa baba yake yupo na anamtambua na kumuhudumia).

Lakini ikiwa humjui baba yake (mathalani ulibakwa na humjui mbakaji/mbakaji yupo jela) au baba yake hayupo (amefariki)
mueleweshe kwa kina, endapo atashikiria msimamo wake wa kutomlea mwanao basi jua huyo ni wa kuachana naye maana hana upendo wa kweli bali amekutamani tu (upendo una mambo mengi)

Kumpleka mtoto wako akaishi mbali na wewe kwa sababu za kijinga ni utesaji na dhuluma (Uvivu wa kufikiri) kwa mtoto asiye na hatia pia inaleta usumbufu wa akili kwa mzazi na mtoto huyo hawezi kuwa vile unavyotaka.

Wajibika Mama aishi.
 
Mimi bado sina mtoto ila ikija ikitokea kwangu ni bora uyo mwanaume aende aniache na mtoto wangu ukipenda boga penda na majani yake.....
Huwezi kumfanya mtoto wangu akose mapenzi ya mama eti kisa wewe humtaki otee maeee

............ Ila kama ndo tayar ashanioa na hataki akae na mtoto ambae sio wake no sweat ntampeleka kwa wazazi wangu maana kwanz sio kijijini hivyo wadogo zake hawato mcheka

Umeanza vizuri lakini umemaliza vibaya. Kama hataki kukaa na mwanao mpeleke kwa baba yake kama baba hayupo ni bora uishi naye wewe zaidi ya hapo muache aende huyo hakuwa riziki yako.
 
Oyaaa! Wewe sky,mbona nyie mkikaa na watoto wa waume zenu ni full kuwatesa!
 
Muunganiko mkubwa wa ndoa ni dudu maana ni dudu ndio inayokufanya uitwe mke wa Fulani,siachi wanangu kwa ajili ya kijidudu cha mpito hivi mkiachana na kule kijijini mtoto akawa mkubwa akajenga chuki juu yako na upendo kwa bibi yake utakuja kumweleza nini akuelewe pale utapomkimbilia tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kijidudu Ndio kilichokuzalisha na huyo mwingine.
Msilete dharau wakati mnachodharau ndicho mlichokililia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom