To MMU ladies ....

To MMU ladies ....

una uhakika gan kama mm ni ke?

Ni kutokana na vile unavyojitambulisha na najua wewe ni mwanamke ambae unajiamini kiasi kwamba huna haja ya kufake ID yako!
 
Samahani mkuu, nilidhani una-manya kiswahili, wakati mwingine nitaandika kikwenu

Inaonekana hata hiki nilichokuandikia hujakielewa

Nilikuambia usome ulichokiandika na sio kuwa sielewi kiswahili

Umeelewa sasa?
 
Ni kutokana na vile unavyojitambulisha na najua wewe ni mwanamke ambae unajiamini kiasi kwamba huna haja ya kufake ID yako!

ningejiuliza ataweza kunihudumia KIUCHUMI, kijamii na kisiasa?
 
Back
Top Bottom