Hakuna tatizo!!!!!!!
hahahahaha no bali umeshindwa kuthibitisha kwa vitendo hekima ni nini
Ntakushukuru kwa kunitongoza.
Sababu kunitongoza kwako inamaanisha
umependa kitu Fulani Kwangu au unataka kitu Fulani .
In other words " very flattering"
Sintokuuliza swali lolote .
Mbali nitakukubalia kwa sababu au
nitakukatalia kwa sababu .....
Hapana!
mmmh okay poa, nashukuru kwa kunipenda nna mme mieTunashauriwa hivyo na JF kumbuka!
Wewe ulinitaka nikuoneshe quote yako moja ambayo umejibu kwa hekima na nimefanya hivyo
Hujaniambia nikuambie hekima ni nini
Hayo ni maswali mawili tofauti kabisa!
Wapi??????
Do you want me to do that?
Hii hapa chinikifungu cha juu umefanya hivyo wapiiii
mhhhhh waweza kuweka posti ambayo unadhani nimechangia kwa busara kuliko zote
Niweke link ya kitu ambacho hujauliza?kifungu cha chini ungeniwekea linki ningepata jibu kwako hekima inaanzia wapi