Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Itakuwa ni ngumu kwakuwa sipo nyingi sana!
assume ndo tuko pm
ukiweka posti nitapima hekima kwako inaanzia wapi
Itakuwa ni ngumu kwakuwa sipo nyingi sana!
cc Karucee OLESAIDIMU lol
Huu ni uongo uliotukuka haki a mama, michango yangu imekufanya udhani naweza kuwa mkeHapana tatizo haliko kwangu na liko kwako
Wewe unajitambulisha kama mwanamke na unachangia michango kwa hekima
Mimi kama mwanaume ambae nahitaji kuoa nimeona wewe unafaa kuwa kama mke wangu
Sasa hapo tatizo ni langu bado?
Ok,majibu:
Unajua iko hivi,mimi nataka nikuoe kabisa hivyo kukutajia hapa si vizuri kwani unaweza kudhani nakutania,jitahidi tuonane ili ukajionee mwenyewe kabisa
Unaonaje?
Huu ni uongo uliotukuka haki a mama, michango yangu imekufanya udhani naweza kuwa mke
wakati wajua kabisa na ushaleta thread hapa kuwa hapa ni fake life?
Sawa,
Lakini inamaana hutaniuliza swali kabisa?
Huu sasa uchokozi wa waaaaaaazi kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!
Maswali huwa yanaleta ma swali zaidi .
Kama nina taka kuongea nawe na nina muda
Then Nita kuuliza swali . More likely utani jibu
Na kuunikiza swali lingine au mi nitakuuliza
Kutokana na jibu ulilotoa.
Ndio tuko PM hivyo .....
Moja ya post zako ni hii hii
Unasemaje sasa mrembo?
hahahahahah nimemiss OLESAIDIMU uchokozi uko wapi hapo paroko
Umemmisss?????
Ningekuwa sio fake ningeandika jina langu halisi mirembe....Ndio nilileta lakini sio wote ni fake,labda unipe ushahidi wa kuthibitisha hilo
Na miongoni mwa ninaojua sio fake ni wewe na hii ya kujidai mwanaume naona ni nanmna ya kutaka kuninyima ninachotaka kwako tu
Hebu acha fujo bana!
Jamani masai hebu nijibu bana
Au unataka nikuijie hukohuko PM?
Unaposema nimefeli inamaana kuwa umethibitisha kuwa umenijibu bila hekima
Is that true?